Waziri wa mambo ya Ghafla
Member
- Mar 19, 2017
- 62
- 53
Choo kikuubwaUnajihisi kichwa kinauma Sana?
Kula ndizi mbivu kwa wingi upate choo kikubwa kisha ukajisaidie.Chap kichwa kinapona.
Viagra mfumo wake wa kuitoa mwilini Ni kwa kujisaidia choo kikubwa.
Amegeuka TrafficKwahiyo uliemmezea viagra hajaja??? Imesimama wima tu au imekuaje....pole fundi
Unameza 1hour before sexual intercoursematumiz yake yapoje?
Sikweli,mseto namezeaga na maziwaSina uhakika na Hilo mkuu,
Ila Nnachojua maziwa hayafai kumezea dawa
Itakua alihofia fedheha ya Tako tatu mbele pisi mpyaIwekee barafu....pole sana kamanda
Kwanini umemnywea? Ni mpya, kala hela zako au shida nini??!
Kuna wanawake wanafika kwa romance tu ukiingiza mboo unaenda timiza haja zako tu.hata wanawake wasiofika kileleni kwa wakat wanamatatizo ya kisaikolojia sasa vijana Wa sasa wanaingia katika mkumbo mbaya sana wakutumia hayo madawaKwa vidole!
Hapo mkuu umebonyeza sana bhana😆😆😆.
Kwa hiyo unataka kukojoza bila kukojoa ili iwe nini?
Hizo kazi ni za midoli hizo, kwa binadamu unatakiwa kuwajibika mwenyewe, siyo kufanyiwa, kusaidiwa ama kuigiza.
Mambo hayo yachukulie kama ambavyo unaenda "haja", hauwezi kuwakilishwa na mtu, lazima uwajibike mwenyewe.
Unasemaje we Mtoto wa kahaba?!Okay, you are 45 years and stupidy.
Unasemaje we Mtoto wa kahaba?!
Sometimes mwili unachoka na akili,halafu unakuta una mtu anataka hudumaWatu wana lifestyle mbaya sana.... yaani mtoto wa miaka 45 anatumia hayo mavidonge wakati sisi wazee hatutumii na mzigo upo fresh tu......so sad
Haya mambo hayataki kujilazimisha bali yanataka khiyari ya mwili na akili.....Sometimes mwili unachoka na akili,halafu unakuta una mtu anataka huduma
Mkuu umetema Cheche (Madini) kwenye huu Uzi, Congratulations kwa madiniKisungura (smart Gin) na piritoni Ni mmojawapo ya top depressant dunia nzima, zinashusha presha kwa Kasi ya ajabu Sana.
Ndo maana ukimgusa mtu aliekunywa visungura kuanzia 3 mwili wake Ni baridi kuliko kawaida, afu anakua na utulivu.
Ukimuongezea na piritoni ndo anachoka kabisa.
Vibaka na makahaba wanaozimisha walevi kwny mabaa, huwa changanyia piritoni kwny Pombe Kali. Utalala fofofo mpaka kesho yake mchana[emoji4]
Duh[emoji3447][emoji3447]Kama ulimeza NJOI unapaswa ubalishe
,
Ni Viagra ya Bei rahisi sokoni yenye ubora hafifu mno ili kumudu soko ushindani.
Kwa beginners hata Kama uchumi hauruhusu sn, angalau uanze na ERECTO.
Hayo matakataka ya NJOI yanatenezwa hapo GONGO LA MBOTO na waswahili wenzetu Changamoto Sana.
Wengi wanalalamika
Doctor huyo, maelezo yake yanajitosheleza[emoji3][emoji3][emoji3]Bro unavozielezea vizuri
Hahahaha... nimekupa Vyeo nikijua ni Doctor, Duh umeniangusha mkuuNmezitumia sana ujanani[emoji4]
Bado aujasemaMbona mi nameza hayanisaidii nikimeza kimoja au na nusu njoi ndio kwanza nawai kupiz sekunde ya tano mwaaa nimetumia kama mara tatu lakin watu mnavisifu mi nina matatz gan nikinywa maji lita kdg naweza dumu kwenye gemu angalau dakika mbil chali wakuu dawa gan kwa mtu kama mm zitanifaa