Ufanyaji kazi wa viagra

Next time usitumie hayo madude ,ukiwa umeandaa show hakikisha unapiga supu ya ngombe nzuriii iwe supu kweli + mboga majani+ yai la kienyeji,, kabla ya kupiga hiyo supu tanguliza maji lita 1 utakuja kushukuru! Sasa hapo tafuta papai kula nusu papai ikipendeza na vipeke vyake chapu uwende toi Mzee wangu pole sana
 
Mm nilikuwa na ahadi na demu kasema anakuja gheto alikuwa kala hela zangu nyingi nikasema huyu ngoja nijaribu yale maviagra ingawa nilikuwa sijawahi kutumia Viagra wee si nikanywaa kabisa sildenafil citrate 50 mg demu kala unyoya hakutokea muda huo aisee toka siku hiyo sijawahi kutumia na sitotumia tena hayo madonge kichwa mgongo ovyo ovyo pressure inashuka mara inapanda yaan hivi nyie wengine mnawezaje daa demu alikuja baada ya siku 2
Kuna mademu wengine waende tu motoni maana wanakera wanaudhi mtu umeshajiandaa halafu haji wapuuzi kweli
 
Kuna wanawake wanafika kwa romance tu ukiingiza mboo unaenda timiza haja zako tu.hata wanawake wasiofika kileleni kwa wakat wanamatatizo ya kisaikolojia sasa vijana Wa sasa wanaingia katika mkumbo mbaya sana wakutumia hayo madawa
 
Watu wana lifestyle mbaya sana.... yaani mtoto wa miaka 45 anatumia hayo mavidonge wakati sisi wazee hatutumii na mzigo upo fresh tu......so sad
 
Hii nilicho mfanyia mke wangu hadi alilia sana nilipiga bila huruma hadi raha yaani
 
Mkuu umetema Cheche (Madini) kwenye huu Uzi, Congratulations kwa madini
 
Duh[emoji3447][emoji3447]
 
Bado aujasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…