Ufanyaji kazi wa viagra

Ufanyaji kazi wa viagra

Iwekee barafu....pole sana kamanda
Kwanini umemnywea? Ni mpya, kala hela zako au shida nini??!
Hili la kuliwa hela kumbe lina athari kubwa kwenye mapenzi kwa watu wengi!

Nilidhani ni mimi peke yangu ambaye hutokewa pindi nikihonga pakubwa,!

Nguvu za nyati kwenye kitanda sijui huwa zinatokea wapi tu!

Nadhani inaprogamiwa na ubongo, kwamba "usipojifunga vikaze", hela itakuwa imeenda bure, muda umepoteza, gharama za takrima na fedheha juu kwa matokeo ya sifuri kudadeki!

Ukifikiria hayo, mtu unavimba kama ugomvi huku ukiizuia climax kwa mkono, maana ikikuvagaa mapema, kwisha habari yako, unabakia ghaaa na kuanza kujichekeleza kipumbaf pumbaf!

Mapenzi jamani nyie, wacheni tu watu wajinywee maviagra na mamikongo yao, kama hayo mavitu hayapelekei kufutiwa matokeo ya magoli wafungayo, bali huo ndiyo unakuwa ni ushindi wa ubingwa halisi unaosakwa bila refa!
 
Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,
Sasa kama Ina lower ana haja Gani ya kutumia SI hata mjulusi hata simama?
Nenda kagoogle Viagra Ina lower blood pressure na Dawa maalum ilitengenezwa kwa ajili ya watu wenye shida ya hypotension ila side effects zake zikaja kuonekana uume unasimama sana wagonjwa waliokuwa wanatumia.

So wakaamua kuweka mwenye kundi la watu wenye shida ya erectile dysfunction.

Ila Ina lower blood pressure
 
Kuendekeza hayo mavidonge sio vizuri kwasababu unaweza ufike mahali usijiweze naturally bila mavidonge.Na hiyo ni very worse situation...Ni bora kutumia virutubisho vya asili kama asali,karanga pweza nk..kwa utaratibu unaofaa.Pia ni muhimu kujenga tabia ya kufanya mazoezi na kunywa maji mengi.Kuwa na mawazo chanya pia inaongeza ufanisi....Vidonge sio vizuri,vinakupa furaha ya muda mfupi huku vikifubaza uwezo wako wa asili.
Haijawa confirmed
 
Tafuta taarifa sahii,
Viagra inaongeza presha maana usababisha damu ikimbie Kasi Sana.

Wanaopata low BP wakitumia viagra Ni wale waliotanuka mishipa, au Moyo mpana.

Wengi presha inapanda
Acha ushamba Ina lower blood pressure .

Ila Ina ruhusu portal vein kupeleka Damu kwa wingi chini
 
Mbona mi nameza hayanisaidii nikimeza kimoja au na nusu njoi ndio kwanza nawai kupiz sekunde ya tano mwaaa nimetumia kama mara tatu lakin watu mnavisifu mi nina matatz gan nikinywa maji lita kdg naweza dumu kwenye gemu angalau dakika mbil chali wakuu dawa gan kwa mtu kama mm zitanifaa
Ukinywa unatakiwa ukae nusu saa kwanza
 
Back
Top Bottom