Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Mwaka 2004 ugiriki walibeba kombe la mataifa ya ulaya wakati haikutarajiwa. Walikuwa wanafunga goli halafu wanarudi nyuma na kupaki basi. Hapakuwa na burudani kwasababu timu moja ndio ilikuwa inacheza peke yake huku nyingine ikizuia.
Morocco naona wameanza vizuri kwa kufuata mfumo kama ule isipokuwa tofauti ni kwamba wanashambuliwa sana na golikipa (Bono) amekuwa akiokoa jahazi. Pia mara kadhaa miamba ya goli imewaokoa.
Hatari katika lango la Morocco itapelekea magoli manne kufungwa katika mechi hiyo. Natarajia nao pia watapata walau goli moja wafute machozi.
Mbappe, Giroud, Griezman, Dembele.
Morocco naona wameanza vizuri kwa kufuata mfumo kama ule isipokuwa tofauti ni kwamba wanashambuliwa sana na golikipa (Bono) amekuwa akiokoa jahazi. Pia mara kadhaa miamba ya goli imewaokoa.
Hatari katika lango la Morocco itapelekea magoli manne kufungwa katika mechi hiyo. Natarajia nao pia watapata walau goli moja wafute machozi.
Mbappe, Giroud, Griezman, Dembele.