Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Na refa.
Mechi ya Portugal mimi neno langu ni moja tu, bahati ilikuwa upande wa Morocco.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ya Portugal mimi neno langu ni moja tu, bahati ilikuwa upande wa Morocco.
KIZAZI CHA VUMBI LA CONGO.KIZAZI Cha utabiri.
KIZAZI Cha kamali.
KIZAZI Cha Zinaa.
KIZAZI Cha nyoka.
PUNGUZENI UTABIRI VIJANA MUDA HUWA UNATOA MAJIBU.
WAKATI NI MWALIMU MWEMA SANA
Huyo jamaa anakaba hadi benchi la ufundi.Morocco tatizo ni kwenye umaliziaji, hao wakina Dembele na Mbappe watachezeshwa na nani wakati Amrabat anauwezo mkubwa wa kuwafunika viungo wa France
Watu mnaichukulia poa Sana Morocco , wanafungwa manne , wao wamekaa tuu, ufaransa wasipowaheshimu Morocco wanaenda kuchezea kichapo cha mbwa Koko , ni nidhamu Yao dhidi ya hawa waarabu ndo itawaokoa , Kwa mtu aliyeangalia mechi zote za Morocco , atakubali kuwa hakuna timu ya kuitisha Morocco , hata kama ikifungwa labda gap la goli moja tuu , na sio manne kama unavyotaka kutuaminisha
Wewe una chuki na wa Morocco, keanini usiache tu kazi ya utabiri baada ya kuumbuka kwenye uzi wako wa awali
Mashabiki wa Morocco ninaamini mmeshamaliza kupakia mizigo yenu, ndege inaondoka baada ya swala ya Isha
Ndugu zangu kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Mara baada ya adhana jioni ya leo majira ya saa mbili kasorobo tutakuwa tunatoka uwanjani na tukimaliza kuswali ndege itakuwa inaondoka. Tunawatakia safari njema na tutakuja marakesh kutalii hivi karibuni.www.jamiiforums.com
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kawaulize korea wakati wanafungwa na Brazil walikuwa wamekaa au walikuwa wanacheza?Wakati hao Morocco wanafungwa magoli 4 watakuwa wamekaa uwanjani, au na wenyewe watakuwa wanacheza kama hao Ufaransa?
Kwa hiyo kipa kuokoa ni bahati?Kwenye mpira wa miguu bahati inahusika sana. Kama uliangalia mechi ya man city na real madrid ucl iliyopita utaelewa ninachoongelea.
Hata juzi kwenye Croatia na Brazil, yule kipa wa Croatia aliokoa baadhi ya mipira mpaka watazamaji tunabaki midomo wazi. Pia Croatia hawakuwa na attempt hata moja on target lakini wakasawazisha goli dakika ya 117. Ile ni bahati.
Morocco wameishi kwenye bahati sana na sina uhakika kama itaendelea au lah.
Unachopaswa kujua hakuna bahati pasipo na uwezo. Bahati ipo ila bila uwezo huwezi kupata hiyo bahati, utapigwa za kutosha. Kipa kuokoa sio bahati ni uwezo. Timu kutengeneza shambulizi dk. Ya 117 na kufunga hakuna tofauti na timu iliyotengenza shambulizi dk.ya 40. Huwezi kusema Morocco wamefuzu semi fainal kwa sababu ya bahati tu, je miaka ya nyuma walikuwa hawafuzu kwa sababu ya kukosa bahati tu? Akina Senegal, Ghana, Tunisia , Cameroon wametolewa sababu ya kukosa bahati?Kwenye mpira wa miguu bahati inahusika sana. Kama uliangalia mechi ya man city na real madrid ucl iliyopita utaelewa ninachoongelea.
Hata juzi kwenye Croatia na Brazil, yule kipa wa Croatia aliokoa baadhi ya mipira mpaka watazamaji tunabaki midomo wazi. Pia Croatia hawakuwa na attempt hata moja on target lakini wakasawazisha goli dakika ya 117. Ile ni bahati.
Morocco wameishi kwenye bahati sana na sina uhakika kama itaendelea au lah.
Katika maandishi yangu kila pahala nimeeleza kwamba Morocco ni timu nzuri na inatembea kwenye bahati katika michuano hii.Unachopaswa kujua hakuna bahati pasipo na uwezo. Bahati ipo ila bila uwezo huwezi kupata hiyo bahati, utapigwa za kutosha. Kipa kuokoa sio bahati ni uwezo. Timu kutengeneza shambulizi dk. Ya 117 na kufunga hakuna tofauti na timu iliyotengenza shambulizi dk.ya 40. Huwezi kusema Morocco wamefuzu semi fainal kwa sababu ya bahati tu, je miaka ya nyuma walikuwa hawafuzu kwa sababu ya kukosa bahati tu? Akina Senegal, Ghana, Tunisia , Cameroon wametolewa sababu ya kukosa bahati?
Ni kweli kabisa na hilo ndio linapelekea wafungwe hizo goli nne.Kumbuka Morocco hadi sasa hajafungwa mechi hata moja
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Amrabat apambane na babu Rabiot na dogo Tchouameni. Amrabat ana nguvu,pumzi,control na anacheza kwenye zone yake na kuzuia mashambulizi na kuyaanzishaHuyo jamaa anakaba hadi benchi la ufundi.
Timu nzuri maana yake imekamilika kila idara. Kipa kushindwa kuokoa penati maana yake hiyo timu ina upungufu kwenye nyanja hiyo. Wachezaji kupiga hovyo penati maana yake hiyo timu inaupungufu kwenye nyanja hiyo.Katika maandishi yangu kila pahala nimeeleza kwamba Morocco ni timu nzuri na inatembea kwenye bahati katika michuano hii.
Brazil na Portugal wote wana timu nzuri lakini hawana bahati kama ilivyokuwa kwa Spain, Uholanzi na Japan.
Mimi siwezi kushabikia morocco, wanacheza aina ya mpira nisioupenda. Leo watafungwa na ufaransa magoli manne.Morocco hawataki watu wanafiki kama ww mechi ya Spain vs Morocco watu wote walishabikia Spain na hawakuipa nafasi ikaja Portugal vs Morocco kila mtu akasema ndio mwisho wake wakapita mkaanza unafiki wa kuwashabikia wakawakataa na leo tena mmeanza unafiki wote mnaipa nafasi France akishinda Morocco mtaanza tena unafiki wakuishabikia nikwambie tu yale maneno yote ya wachezaji wa MORROCO hayakuwa kwa bahati mbaya na ilikuwa kwasababu ya wanafiki wachache kama nyinyi mnaodhara Africa haiwezi kufanya chochote wanafiki wakubwa.
full time watatoa draw, mfaransa anaenda kutolewa kwenye penaltsMwaka 2004 ugiriki walibeba kombe la mataifa ya ulaya wakati haikutarajiwa. Walikuwa wanafunga goli halafu wanarudi nyuma na kupaki basi. Hapakuwa na burudani kwasababu timu moja ndio ilikuwa inacheza peke yake huku nyingine ikizuia.
Morocco naona wameanza vizuri kwa kufuata mfumo kama ule isipokuwa tofauti ni kwamba wanashambuliwa sana na golikipa (Bono) amekuwa akiokoa jahazi. Pia mara kadhaa miamba ya goli imewaokoa.
Hatari katika lango la Morocco itapelekea magoli manne kufungwa katika mechi hiyo. Natarajia nao pia watapata walau goli moja wafute machozi.
Mbappe, Giroud, Griezman, Dembele.