Ufaransa huwapa kipaumbele watu weusi kuliko waarabu kwenye timu Taifa na mambo mengine hii sio sawa

Na mataifa ya mwarabu yana pesa.
 
Hapo ni zidane tu
 
Kwanini wengi wakatoswa?
 
Kumbe waarabu ni km magaidi hivi
 
Kumbe ni dini ya kulazimishwa?
 
Alimbaka nani
 
Angeongeza kitu
 
Thread closed
 
Kwa jinsi nilivyoishi wakristo huwa hawabagui watu kulingana na dini waislam ndio hufanya hivyo

Mfano Tanzania ni vigumu mwanafunzi wa kikrsto kusoma shule za kiislam kwasababu wanajulikana ni watu wabaguzi sana na wenye roho za korosho
 
Dunia yote leo tuko upande wa Ufaransa! Wabaguzi wote lazima wakalishwe chini.
Tuko pamoja mkuu. Huyu mleta mada anachukulia wote hatujui na hatufuatilii mpira kama yeye. Vitu anavyosema ni tofauti kabisa na uhalisia uliopo

Lets Go Les Bleus
 
Waarabu na mpira wapi na wapi!??
Hao moroco wamebahatisha tu.
 
Ufedhuli wa waarabu ni upi
Wafanyakazi waliojenga viwanja vya Qatar hawajalipwa stahiki zao.
Mwaraabu ni mtu ambaye muda wote yupo kwa ajili ya machafuko. Mpe bunduki ataanza kuua mpaka ndugu zake, mfano hai ni LIBYA. Al shababy, Boko Haram, Al -qaeda, Teliban, ISIS n.k utasema ni Marekani mbona kwenye nchi za Asia kama China, Japan, India, Vietnam ambako waabudu dragon, ng'ombe n.k hakuna machafuko ila kwa nchi zenye imani ya mwaarabu ikiwemo Pakistan kuna machafuko?
Boko Haram ilianzishwa na Mohamed Ali 2002 kwa lengo la kupinga elimu ya magharibi yaani elimu ya darasani, mavazi n.k Akitaka elimu iwe ya madrasa. Je, elimu ya mashariki ya kati ni elimu ya mwafrika? Sasa hivi anaua ndugu zake wanaijeria kwa dini ya mwaarabu.
Morocco baada ya kushinda zile mechi, ushindi ni kwa waraabu wenzao na waislamu ila nafasi ameipata Afrika.
Wamefanya sana slave trade, ndugu zetu wameuwawa sana na hawa watu wanaojiita waarabu
Huo ndiyo ufedhuli wa Waarabu.
 
Kama wanawabagua waarabu na kuwapendelea watu weusi basi acha iwee
 
Ni mpuuzi sana yule kocha, unaanzaje kumu ignore Benzema? Wanawabagua sana waarabu kwa muda mrefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…