Ufaransa huwapa kipaumbele watu weusi kuliko waarabu kwenye timu Taifa na mambo mengine hii sio sawa

Ufaransa huwapa kipaumbele watu weusi kuliko waarabu kwenye timu Taifa na mambo mengine hii sio sawa

Uzi ufungwe,mfaranza kwa miaka mingi ana ile inaitwa assimilation policy,sasa hawa waarabu they dont want to comply with it,wanataka kupractice culture za kiarabu kwenye nchi ya kikafir,
Makocha wa kizungu wanatambua chezaji akiwa amefunga mwezi wa ramadhani kipindi cha mechi anakuwa hana calories za kutosha,au kukatisha mazoezi kwenda kuswali .waarbu moderete wanafanikiwa ila wale extremist ngumu kuwabeba
Mkuu hamnaga muarabu moderate labda awe na damu ya kiahudi, sifa kuu ya muarabu ni kujiona iko superior siku zote.
 
Kwann waarabu wafaransa wengine hawaitwi
Deschamps anamtumia Giroud kucheza Kama Classic no.9 Benzie huwa hachezi vile Mana huwa anaenda kushoto na kulia ambapo tayari wakufanya kazi hiyo wapo.
Tisa ya kizamani iliyobakia France Olivieree.
#Tuiweke kisoka Zaid
 
Wakati tukiiendelea kusubiri mtanange wa kuhitimisha kombe la Dunia leo jioni
Kati ya ARGENTINA vs ufaransa

Kuna jambo sio zuri

Mchezaji wa ufaransa na real madrid benzema aliomba ashiriki kuanzia mechi za robo fainali kwasababu tayari alishapona ila hakujibiwa hadi siku ya jana alipoamua kutema nyongo
Benzema ni mwarabu

Hili tukio lilinifanya nichunguze kwa kina kuhusu hii trend

Ufaransa ndio nchi ya ulaya ambayo inawageni wengi waarabu kuliko nchi yeyote ya ulaya wengi wao hukimbia vita na njaa kwenye nchi zao

Waarabu wengi wachezaji wa mpira wa miguu huanzia maisha yao ya mpira kwenye vilabu mbalimbali nchini ufaransa
Km ilivyo weusi

Pia national team za vijana wengi huchezea Timu za ufaransa kama walivyo weusi

Ila cha ajabu wachezaji wenye asili ya kiarabu hawaonekani timu ya taifa tofauti na wale wamatumbi (weusi)


Wachezaji weusi wale vijana huchezeshwa mechi nyingi timu ya wakubwa ili wasije wakaswitch utaifa
Ila waarabu wanaachwa kizembe tu huu ni ubaguzi

Ufaransa hii dhambi ya kubagua waarabu na kuwabeba weusi haitawaacha salama

Kwa kuwa ufaransa mnagusana ndugu zetu waarabu
Sisi bara la africa kwa pamoja tunasimama dhidi yenu mshikishwe adabu na argentina

Ndugu zangu waafrika tuwakatae ufaransa leo kwa ubaguzi wao dhidi ya waarabu na tuiunge mkono timu ya argentina

Asante
mechi inachezwa jioni ya saa ngapi
 
Wakati tukiiendelea kusubiri mtanange wa kuhitimisha kombe la Dunia leo jioni
Kati ya ARGENTINA vs ufaransa

Kuna jambo sio zuri

Mchezaji wa ufaransa na real madrid benzema aliomba ashiriki kuanzia mechi za robo fainali kwasababu tayari alishapona ila hakujibiwa hadi siku ya jana alipoamua kutema nyongo
Benzema ni mwarabu

Hili tukio lilinifanya nichunguze kwa kina kuhusu hii trend

Ufaransa ndio nchi ya ulaya ambayo inawageni wengi waarabu kuliko nchi yeyote ya ulaya wengi wao hukimbia vita na njaa kwenye nchi zao

Waarabu wengi wachezaji wa mpira wa miguu huanzia maisha yao ya mpira kwenye vilabu mbalimbali nchini ufaransa
Km ilivyo weusi

Pia national team za vijana wengi huchezea Timu za ufaransa kama walivyo weusi

Ila cha ajabu wachezaji wenye asili ya kiarabu hawaonekani timu ya taifa tofauti na wale wamatumbi (weusi)


Wachezaji weusi wale vijana huchezeshwa mechi nyingi timu ya wakubwa ili wasije wakaswitch utaifa
Ila waarabu wanaachwa kizembe tu huu ni ubaguzi

Ufaransa hii dhambi ya kubagua waarabu na kuwabeba weusi haitawaacha salama

Kwa kuwa ufaransa mnagusana ndugu zetu waarabu
Sisi bara la africa kwa pamoja tunasimama dhidi yenu mshikishwe adabu na argentina

Ndugu zangu waafrika tuwakatae ufaransa leo kwa ubaguzi wao dhidi ya waarabu na tuiunge mkono timu ya argentina

Asante
Victoire tuambie hili Lina ukweli ?....

Sio kwamba hao weusi wanapata nafasi sababu ya ubora na viwango vyao vikubwa ?...
 
Sasa kama wanajikuta wao wapo tayar kufa Kwa ajili ya culture zao si wabaki wafe nchini kwao kuliko kwenda nchi za makafir
Mkuu uislamu unaruhusu kutumia mali ya kafir kwa akili sio kwa nguvu kueneza uislamu ndo wanachofanya waarabu wa kiwa Ulaya.
 
Muarabu siku zote huwezi kumbadili urai na uzalenda wa taifa lake hata uko azaliwe umpe kila kitu, atabaki kua raia na muislamu wa uarabuni, na wewe atakuona kama kafiri alie potea, na juhudi zake zote ni kukubadili dini uwe Muislimu kama yeye, jambo ambalo ni tofauti na African Black ukimpa anavyotaka na jina Lake anabadili pamoja na tamaduni na dini.
Vipi kuhusu Zidane?
 
Si wanaenda kuchoma watu visu kwenye nchi zao
Hata Wazungu wenyewe kwa wenyewe wanauana kwa kupigana risasi, tofauti na waarabu hawawezi kuua mwanamke au mtoto, lakini wazungu wana vamia shule za chekechea uko Marikani na kuwamiminia lisasi watoto wadogo.
 
Back
Top Bottom