Wafaransa wanajua mwarabu kuliko wewe, Wana akili kuliko wewe, wamesema kuliko wewe , Wana fedha kuliko wewe.
Jiulize kwenye biashara ya utumwa , wale waafrika waliopelekwa Marekani na nchi za ulaya, waliruhusiwa kuzaliana na kuongezeka na ndoa baina ya waafrika na wazungu haikuwa tatizo, ila wale weeengi waliopelekwa uarabuni kwa makundi waliishia wapi?
Jiulize, waarabu kwenye nchi za ulaya wanaruhusiwa kujenga misikiti na kuhubiri imani Yao bila shida lakini nenda muhubiri wa Kikristu kwenye ardhi ya kiarabu kuhubiri ukristu au ujenge kanisa au muarabu abadikishe dini uone. Hayo machache yanayoishia kuelezea mwarabu ni binaadamu wa aina gani