Wafanyakazi waliojenga viwanja vya Qatar hawajalipwa stahiki zao.
Mwaraabu ni mtu ambaye muda wote yupo kwa ajili ya machafuko. Mpe bunduki ataanza kuua mpaka ndugu zake, mfano hai ni LIBYA. Al shababy, Boko Haram, Al -qaeda, Teliban, ISIS n.k utasema ni Marekani mbona kwenye nchi za Asia kama China, Japan, India, Vietnam ambako waabudu dragon, ng'ombe n.k hakuna machafuko ila kwa nchi zenye imani ya mwaarabu ikiwemo Pakistan kuna machafuko?
Boko Haram ilianzishwa na Mohamed Ali 2002 kwa lengo la kupinga elimu ya magharibi yaani elimu ya darasani, mavazi n.k Akitaka elimu iwe ya madrasa. Je, elimu ya mashariki ya kati ni elimu ya mwafrika? Sasa hivi anaua ndugu zake wanaijeria kwa dini ya mwaarabu.
Morocco baada ya kushinda zile mechi, ushindi ni kwa waraabu wenzao na waislamu ila nafasi ameipata Afrika.
Wamefanya sana slave trade, ndugu zetu wameuwawa sana na hawa watu wanaojiita waarabu
Huo ndiyo ufedhuli wa Waarabu.