Ndio mpira sasa huu,sio tu unasema fulani atashinda...atashindaje?quality inahitajika kila kipengele...hawana kipa kama wa Argentina na wapiga penalty chenga wanashindaje kwa watu wenye full package..?jibu ni HAIWEZEKANIMategemo yangu ni ufaransa kuchukua ubingwa lakini sivyo inaniymaaaaaaa saanaaaa mpka nimelia ase mpira halamu sana
Acha matusi nitakutuHuna kazi za kufanya ndo maana unalilia waume za watu.
FactAcha matusi nitakutu
Huku hakuna kukuza vipaji na mazingira yanachangiaUkitaka kujua mahusiano angalia nchi zetu!
Ila yule dogo kakosa kijinga sanaNdio mpira sasa huu,sio tu unasema fulani atashinda...atashindaje?quality inahitajika kila kipengele...hawana kipa kama wa Argentina na wapiga penalty chenga wanashindaje kwa watu wenye full package..?jibu ni HAIWEZEKANI
Id yako kubwa af unaaza kuleta uzembe hapaFact
Kama ww ni poor ni poor tuMwanaume wa Dar akilia sababu ya mpira, wanaume wa mkoani tuchape kazi.
Ulitak nilie kisa punyeto?Unalia kisa mpira...
Mkuu pole ndo maisha sa utafanyaje?Ulitak nilie kisa punyeto?
Bado siamin ase 😩😩😩😩Mkuu pole ndo maisha sa utafanyaje?
Tungechukua usingekuwa na kauli iyo wewwMnategemea kitoto kile kinakimbia kimbia tu ndo mchukue ,mna wazimu nn?
Hujajosea tajiri wa misukule.Kama ww ni poor ni poor tu
Utaamini tuBado siamin ase 😩😩😩😩
Haiwezekani😂😂😂Tungechukua usingekuwa na kauli iyo weww
Hujajosea tajiri wa misukule.
Haiwezekani😂😂😂