Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Ufaransa hawakuwa bora kuliko Argentina, kama dk za mwisho mainly walikuwa wanamtegemea Mbappe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄 Unataka kushikwa tena?Af ujue wew mzee af unapenda kubishana na vijana acha ufal
We ni mwenyeji wa ufaransa?Mategemo yangu ni ufaransa kuchukua ubingwa lakini sivyo inaniymaaaaaaa saanaaaa mpka nimelia ase, mpira haramu sana.
Pumb* kweli una akili kashike ya baba yako😄😄 Unataka kushikwa tena?
Ndio nilisomea ukoWe ni mwenyeji wa ufaransa?
Mwarabu muacheni skuna kama yyWaarabu wameandaa kombe la dunia la heshima nadhani mzungu anajitafakari sana. kuanzia mwanzo mwisho ni utaratibu
Jinsi walivyo design stage nadhani wengine wakaige. Kweli wameonesha jeuri ya pesa.
Ile jukwaa la kupokelea kombe ni noma, wengine wanaweka ka jukwaa kama ka kipaimala. Au ubatizo wa mtoto
Unaweza kukuta kwao ni RUFIJI huko ndani ndani.We ni mwenyeji wa ufaransa?
Af ww mtoto wa kiume acha uchok kwtu rufiji ulipelekwa kuolewa? 😂Unaweza kukuta kwao ni RUFIJI huko ndani ndani.
Mkuu, wewe nawe ni mwarabu?Timu imejaa watu weusi unategemea nn mkuu!
Unaanzisha thd ya kutoa ushuhuda kua eti umelia kisa France kufungwa,huoni kua una tatizo?Af ww mtoto wa kiume acha uchok kwtu rufiji ulipelekwa kuolewa? 😂
Ulitak niazishe thrd the way ulivyopigwa miti? SioUnaanzisha thd ya kutoa ushuhuda kua eti umelia kisa France kufungwa,huoni kua una tatizo?
Mbona unaanza kujitangaza hapa kua wewe sio riziki? maana mtu huwaza kile akifanyacho na huamini kua na wenzake wanafanya kama yeye,Ulitak niazishe thrd the way ulivyopigwa miti? Sio
Yako ndio mazuri,so so soft mtoto mzuri.Pumb* kweli una akili kashike ya baba yako
Kuna siku alikuja humu na thread akilia Kwamba ameshikwa shikwa makalio,full kupapaswa Kwny hiace,nikawa najiuliza mpk ushikwe makalio na mwanaume mwenzako anakua amekuonaje onaje?Mbona unaanza kujitangaza hapa kua wewe sio riziki? maana mtu huwaza kile akifanyacho na huamini kua na wenzake wanafanya kama yeye,
Haya tunakuacha uendelee kuwalilia France,sawa Binti.
wamekula 50 yangu mwenyewe mbangaizaji tu...nchi kodi inapata ila sisi ndio tunaumia.Vitoto vya Kanji vinazidi kunenepa 🤣🤣🤣 maskini Waya mkali anawaza atajilike kwa kusuka mikeka matokeo yake mtu anaweka mkeka Timu 20 wenyewe wanaita behewa,
anaweka jero ili apate laki kitu ambacho ni ngumu kutusua🤣🤣🤣