Ufaransa imeniangusha sana

serikali imeshindwa kabisa kumpiga marufuku kanjibai na michezo yake ya kubet,kila siku anakula pesa za maskini 😐
Vitoto vya Kanji vinazidi kunenepa 🤣🤣🤣 maskini Waya mkali anawaza atajilike kwa kusuka mikeka matokeo yake mtu anaweka mkeka Timu 20 wenyewe wanaita behewa,
anaweka jero ili apate laki kitu ambacho ni ngumu kutusua🤣🤣🤣
 
Si Bora were..unamshabikia Argentina wapi na wapi. Yaani Argentina anaajua kuhusu Africa,? Bora useme umeshabikia Argentina baada ya Brazil kutoka pia havina uhusiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…