Ufaransa kuanza kutengeneza silaha nchini Ukraine

ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwann Urusi miaka yote hakujihusisha na Africa ila sasa hv anakimbilia Afrika , hali ngumu anatafuta pa kupumulia hadi kuuza bidhaa zake kwa nusu bei unafikir mchezo , UKIWA NA AKILI NDOGO HUEZ ELEWA
Wewe ndo akili ndogo hata panzi anakuzidi ni biashara gani Russia wameuza bei ndogo?
 
Pia wakiingia mazima Urusi atajipigia CARIFONIA,New York, Pentagon n.k.
 
Hili wasiwe vibaraka
 
unapobisha usiweke ushabiki , Urusi si bibi yako
 
akil zako zinatia shaka
 
Mbona marekani wanasusa kupeleka pesa Ukraine kama kungekua na mafanikio, nayo hio blog??watu wameona wanapoteza pesa tu na mrusi anazidi kuwamega,,,na mtamegwa sana bado miaka 10 mingine
wanasusa hlf urusi hashindi vita , akil zako zinatia shaka
 
swala la Ukraine lina faida kubwa kwa america kuliko ufikiliavyo , hawawez mwacha Putin ashinde
 
ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwann Urusi miaka yote hakujihusisha na Africa ila sasa hv anakimbilia Afrika , hali ngumu anatafuta pa kupumulia hadi kuuza bidhaa zake kwa nusu bei unafikir mchezo , UKIWA NA AKILI NDOGO HUEZ ELEWA
Afrika Kuna soko na malighafi nyingi ndio maana mfaransa kapaniki
 
kwahiyo Afrika nchi zinazoongea kifaransa ndo maskini tu ? mkuu ebu cheki vzr your reasoning
 
Hahaa wanataka wamwage vikosi sababu maji yamewafika shingoni wanaona wanazidi kumegwa tu,,kama wangekua wamemuweza mrusi wangefikiria kuingia wao wenyewe? Hali imeshakua ngumu acha waingie na wao wachezee kichapo PUTIN AKILI KUBWA
kutoka kyiv to east ukraine ndo kumegwa?
 
[emoji81][emoji81]watu hawa kuamini kama Russiia kavamia hadi leo hawaamini mwamba alikua kama ana fanya mazoezi kumbe ndo dozi inaanza
kwa miaka 2 hii Russia imepitia mengi sana kuuana wao kwa wao ? moscow kupata milipuko kupoteza makamanda wao , kushusha bei bidhaa zao ili wapate soko ,Russia kuwa koloni la china ( warusi wanalalamika sana juu ya hili , kila kitu Urusi ni China made )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…