unaandika ushubwada huu wkt hata bandar huez iendeshaSasa nchi nzima magofu Kuna faida gani mnapokea silaha zinanyeshewa na mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaandika ushubwada huu wkt hata bandar huez iendeshaSasa nchi nzima magofu Kuna faida gani mnapokea silaha zinanyeshewa na mvua
hilo swali ni jibu tosha kuwa una akili kisoda , fuatilia mimi sio mwl wa wajinga , kila kitu kipo waziWewe ndo akili ndogo hata panzi anakuzidi ni biashara gani Russia wameuza bei ndogo?
kuna namna huielew Amerika na hujui hao mashosti zako huwa wanaiogopa AmericaPia wakiingia mazima Urusi atajipigia CARIFONIA,New York, Pentagon n.k.
saa 72 hadi miaka 2 kwel ndo tafsiri kamili ya military operationNdio tafsri kamiri ya The Military Operation.
Afrika mpo watu wazima wengi ambao ni wajinga , Kiongoz wa Ukraine akiwa kibaraka yeye Putin ina muhusu nini ? Urusi kafanikiwa kuyashika mazombi yake mengi huku Afrika ambayo yanateswa na umaskini uliosababishwa na uvivu wa wao wenyewe halaf wanazani umaskini wao umesababishwa na watu wakujaHili wasiwe vibaraka
haya maswali hamkuuliza mwaka 2022 , kwahiyo hatutak midomo rudini kule mlikokuwa mnashabikia kuwa SMO ya muda mfupi kuwai kutokea kisha mkaulize sasaToa crip hiyo! HAKUNA maali popote Viongozi wa Urusi walitamka.
unawaza ushoga sana , hapa hakuna mada ya ushoga ila umekuja kupromote tabia zako za kishogaAkiri za mashoga ni km ngoma ya Watoto.
hayo maswali kwann hamkuuliza mwaka 2022 au hiyo ni stori mpya kwako ?Toa clip
Kwenye vita hayo mambo kawaida kikubwa nani kamegwa na anaendelea kumegwa hadi sasa, hilo ndo lengoMoscow ina milipuko kila mara mpo busy kujifariji humu
Mnataka mmegwe kwa style nyingine ? Poland nae anavizia kuwamegakutoka kyiv to east ukraine ndo kumegwa?
Hamuendelei kumegwa yakhee??wanasusa hlf urusi hashindi vita , akil zako zinatia shaka
Uzuri hazisapoti ma lgbt na wanaziakil zako zinatia shaka
Wamagharibi si mabwana zenu , endeleeni kumegwaunapobisha usiweke ushabiki , Urusi si bibi yako
achukue Donbas bas watu wawe huru mwaka 3 sasa, alisema saa 72 zingetoshaRussia hayupo vitani, akitangaza Vita hata panya hawatkli nje mashimo. Yupo kwenye operation na lengo kubwa ni Donbase, kusaidia Watu kuwa huru.
Ni vile Russia hakuna uhuru wa vyombo vya habari ila kule hali ya uchumi ni tete.ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwann Urusi miaka yote hakujihusisha na Africa ila sasa hv anakimbilia Afrika , hali ngumu anatafuta pa kupumulia hadi kuuza bidhaa zake kwa nusu bei unafikir mchezo , UKIWA NA AKILI NDOGO HUEZ ELEWA
vita imeisha ?Kwenye vita hayo mambo kawaida kikubwa nani kamegwa na anaendelea kumegwa hadi sasa, hilo ndo lengo
nina mwanangu alikuwa kule mwaka 2023 wananchi wameminywa ila hawaitak kbs hii serikali , hali yao imekuwa ngumu na China anashika kila sekta sasa hv huko Urusi , wanadai UHURU WAO KAMA URUSI UPO MATATANI KWA CHINANi vile Russia hakuna uhuru wa vyombo vya habari ila kule hali ya uchumi ni tete.
Hata kumegwa hakujaishavita imeisha ?
Ulichosema ni sahihi kabisa. Putin alianza polepole kuingia Afrika kwa kuwaingiza Wagner kule Afrika ya Kati. Baadaye akaanza kunyang'anya Ufaransa Makoloni yake. Kwa sasa Afrika Magharibi yote huenda ikawa chini ya Himaya ya Urusi. Maana nchi zote zilizokuwa Makoloni ya Ufaransa zimeanza kufuta Mitaala ya Shule inayoendeshwa kwa Kifaransa na kuirudisha kwenye Lugha za asili yao.Huyu mwamba ni kiazi sana..Putin kamuonesha kuwa anaweza kumunyang'anya ugali mdomoni na asifanye kitu chochote.
Inshort ni kwambwa Russia anaweza kukuneutralize kwa namna nyingine kabisaa ambayo hukutegemea ukabaki umetoa mimacho yako mikubwa.
hapa ndo unakumbuka ule usemi kuwa kiongozi ambaye kapitia mafunzo ya ujasusi ni bora zaidi kuliko kiongozi ambaye anapitishwa na Raia kwa mihemuko ya utajiri na mali.
Natamani nchi yangu ilione hilo kwa jicho la tatu kabla ya kuweka watu kwenye madaraka.