Ufaransa na Makoloni yake Afrika ndio Uhalisia Wetu/Afrika kuendelea ni ndoto

Ufaransa na Makoloni yake Afrika ndio Uhalisia Wetu/Afrika kuendelea ni ndoto

Hakuna mwafrika anaeweza mletea maendeleo mwafrika mwenzake
.Muhimu kujitambua, kuangalia vitu kwa miaka mia mbili karne zijazo.

Tuĺikuwa vizuri kwa miaka zaidi ya 3000. Ustaraabu wote kila kitu vimetokea hapa Afrika vikishuka kutoka River Victoria.
 
.Muhimu kujitambua, kuangalia vitu kwa miaka mia mbili karne zijazo.

Tuĺikuwa vizuri kwa miaka zaidi ya 3000. Ustaraabu wote kila kitu vimetokea hapa Afrika vikishuka kutoka River Victoria.
Hizo ni story tu tumeshindwa vipi sasa kuviendeleza
 
Only wake up and rejoin all Black people.....huu ndyo muda wa kuamka
1643298361556.jpg
 
Ni ngumu Sana kwa afrika kuendelea sababu hatuna mifumo ya maendeleo. Labda tununue management ya kutuongozwa toka nje
Hiyo hiyo management ndiyo kutawaliwa kwenyewe huko, japo ni kwa kivuli cha uongozi.
 
Hiyo hiyo management ndiyo kutawalisa kwenyewe huko, japo ni kwa kivuli cha uongozi.
Bora kama tumeshindwa je, uarabuni management nyingi wamenunua nje thus wameendelea.Mfano madirector,mameneja wengi sio waarabu,sales personal,wafanyakazi wengi wanatoka india, philippines,nk thus wameendelea.
Sisi tumeshindwa kujiongoza
 
Mameneja wengi pale ni Wazungu, Pilots,hostess, wauzaji kwenye maduka, cleaners, drivers ni kutoka nchi nyingine. Ulaya, Philipines, Afrika, Uganda, Kenya, Eritreria, Sudan, Ethiopia,Pakistan, India.

Tanzania tunaweza kuwaajiri wenye uwezo, tunawapa targets, tunawasimamia.

Ndani ya miaka kumi tunapata maendeleo makubwa sana.

kufikia hatua kufanya hivo kama walivyofanya nchi za kiarabu ni tayari kuwa munajifahamu na kujielewa na munajua munapotaka kwenda.

Tatizo kuu la nchi za kiafrika bado hazijielewi kabisa wapi wananataka kwenda, ubinafsi unawatesa sana waafrica.
 
Muhimu kufikiri vizazi vijavyo. Kuweka misingi, mifumo itakayosaidia Watanzania wote huko mbeleni.

Wenzetu wanayo misingi thabiti. Haijali Familia cheo, utajiri, umaskini. Wote mpo sawa mbele ya sheria, mamlaka yoyote.

Mfano, elimu, bure, afya kila mtu analipa kidogo, insurance, makazi serikali ikijenga nyumba nyingi na kuzipangisha watapata mapato ya kutosha, imagine watu milioni tano wanapangisha.

Nchi hii Tanganyika ina rasilimali zaidi ya Ulaya nzima, vivutio vinavyopatikana Tanzania tu, madini, Ardhi, watu, bado tuna-struggle kupata chakula.

Ni sera, vision, seriousness ya watu walioko juu. Tukiwaweka wahuni,hatuwezi kufanikiwa kamwe.

Na ndio tunaendelea kutawaliwa na wahuni. Yani Africa tu ma Criminals ndio viongozi wa nchi, Wizi na wauwaji. na sisi tumetulia kabisa
 
Bora kama tumeshindwa je, uarabuni management nyingi wamenunua nje thus wameendelea.Mfano madirector,mameneja wengi sio waarabu,sales personal,wafanyakazi wengi wanatoka india, philippines,nk thus wameendelea.
Sisi tumeshindwa kujiongoza

Arabuni ni noma sana, Yani wataalamu kutoka kila sehemu wamejaa, Lazima waendelee tu.
 
Bila kutawala Afrika Ulaya hakuna kitu. Utajiri wa Ulaya, Ufaransa, UK, Spanish, Portugal,USA kwa kiasi kikubwa unatokana na vitu kutoka Afrika.

Cocoa, Slaves, Sugar, cotton, plantation Waafrika wakisota kulima kwa miaka zaidi ya 400.
Huo ndio uhalisia jamaa malighafi nyingi wanategemea kuiba Africa.
 
Leo tunapewa MKOPO ambao UFARANSA inazinyang`anya nchi za AFRIKA MAGHARIBI kupitia KODI YA UKOLONI na tunawashukuru na kuwapigia magoti tena tunamsifu mama anaupiga mwingi..😆😆😆
 
Back
Top Bottom