#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

Jiandaeni kisaikolojia kuchanjwa msije chanjwa mkaanza kutapika kwa uoga na hofu kumbe wala yasingetokea.
 
Hujajibu swali.

Habari ya kiwanda cha damu imeanzia wapi?

Umeleta ujinga ambao huwezi kuutetea hapa. Halafu unasema mimi ndiye sina hoja.

Ushuzi unajamba wewe, halafu lawama unanipa mimi!

Nani kakwambia damu inatengenezwa kiwandani?

Nikikataa kuamini Mungu yupo utanifanya nini?
Kumbe naongea na mtu fyatu?

Jinga kabisa wewe, kusoma unajua ila hauelewi mbweha mkubwa wewe!

Jibu swali, Je, umewahi kuona kiwanda cha Damu? Kama hakuna, Damu asili yake ni nini?

Halafu unaleta mipasho kama waimba tarabu hapa!!!
 
Kumbe naongea na mtu fyatu?

Jinga kabisa wewe, kusoma unajua ila hauelewi mbweha mkubwa wewe!

Jibu swali, Je, umewahi kuona kiwanda cha Damu? Kama hakuna, Damu asili yake ni nini?

Halafu unaleta mipasho kama waimba tarabu hapa!!!
Ukijua mtu fyatu halafu ukajibizana naye zaidi, basi wewe utakuwa fyatu zaidi yake.

Kwa nini swali liwe la kiwanda?

Habari ya kiwanda cha damu unaitoa wapi?

Hujajibu swali hili.
 
About 160,000 people protested around France on Saturday against a special COVID-19 pass for restaurants and mandatory vaccinations for health workers. Many marchers shouted “liberty!” and said the government shouldn’t tell them what to do.
Good!
 
Kweli Dunia inakwenda kasi sana. Yaani tumefikia huku kweli kama Dunia?. Kulazimishana kuuana ma machanjo ya kifo?.

Yote hayo huko ufaransa ni propaganda tu. Yote kwa yote wanailenga Africa tu. Wanatamani sana kuipukutisha Africa.

Kwenye corona nafikiri walioitengeneza walikosea kwenye maswala ya vinasaba,hawakuzingatia vinasaba. Kwa hiyo ikawapiga sana wao. Wakaendelea tu kutabiri kufikia wiki ijayo Africa itapukutika,watakuwa wanazolewa maiti na kijiko barabarani,lakini MUNGU alivyo na maajabu yake,inaendelea kuwapiga huko huko kwao,mpaka sasa inaendelea kuwapukutisha sana kwao tofauti na vifo vya Africa.

Wametaharuki,lengo ilikuwa Africa lakini inawapiga wao. Wakabadiri gear angani wamekuja na chanjo kama hiari,baadae itakuwa lazima. Hapo kuna uwezekano kabisa chanjo iliyoletwa Africa sio wanayochanja wao.

MUNGU ataendelea kututetea na uboya wetu.
Binafsi uwa nakubaliana na wazungu kutuita manyani, kwa reasoning ya namna hii tukitwa kima tunafula!!.
Pole yetu.
 
Kwanza unalazimisha hoja zisizo na uhusiano ziwe na uhusiano. Sisi kuwepo hakuthibitishi Mungu yupi, kunathibitisha sisi tupo.

Pili una kithembe cha kuandika hujui tofauti ya thibitisha nadhibitsha, jifunze herufi za Kiswahili kwanza, ukiweza kuandika "thibitisha" rudi hapa.

Kama huwezi kuandika Kiswahili tu, napata shaka kukubali kwamba unaweza kujadili falsafa za juu za uwepo wa Mungu.
We kweli ni Kiranga!! kwa kichaga kiranga tafsiri yake ni hii

"Mwenye kiranga hasikitiwi wala akifa hawekewi matanga".
 
Binafsi uwa nakubaliana na wazungu kutuita manyani, kwa reasoning ya namna hii tukitwa kima tunafula!!.
Pole yetu.
Ni sawa mkuu. Hata hivyo kuna ukoo wa manyani kama ukoo wako. Na ukoo wa binadamu. Kwa hiyo hawajakosea na wewe uko sahihi mkuu
 
Ni sawa mkuu. Hata hivyo kuna ukoo wa manyani kama ukoo wako. Na ukoo wa binadamu. Kwa hiyo hawajakosea na wewe uko sahihi mkuu
Reasoning yako umejaa unyani tupu.

Ni kusaidie tu: hakuna mzungu anaepanga njama za kukuua, kumuua mtu mweusi hakuhitaji njema.
Huu ujinga wa kuhisi kuna watu wanapanga njama dhidi yao umebaki Africa tu.
Hata waarab ndugu zetu wanatushangaa aisee. Tumekuwa watu wa kulia lia tu.
 
Reasoning yako umejaa unyani tupu.

Ni kusaidie tu: hakuna mzungu anaepanga njama za kukuua, kumuua mtu mweusi hakuhitaji njema.
Huu ujinga wa kuhisi kuna watu wanapanga njama dhidi yao umebaki Africa tu.
Hata waarab ndugu zetu wanatushangaa aisee. Tumekuwa watu wa kulia lia tu.
Kwa utumbo wako huo hata ukoo wenu wa manyani watakukataa. Unaishi na waarabu mkuu?. Ndio maana una tabia hizo...
 
Reasoning yako umejaa unyani tupu.

Ni kusaidie tu: hakuna mzungu anaepanga njama za kukuua, kumuua mtu mweusi hakuhitaji njema.
Huu ujinga wa kuhisi kuna watu wanapanga njama dhidi yao umebaki Africa tu.
Hata waarab ndugu zetu wanatushangaa aisee. Tumekuwa watu wa kulia lia tu.

Kwamba Waarabu ni ndugu zetu Waafrika?!?
 
Reasoning yako umejaa unyani tupu.

Ni kusaidie tu: hakuna mzungu anaepanga njama za kukuua, kumuua mtu mweusi hakuhitaji njema.
Huu ujinga wa kuhisi kuna watu wanapanga njama dhidi yao umebaki Africa tu.
Hata waarab ndugu zetu wanatushangaa aisee. Tumekuwa watu wa kulia lia tu.

Kwamba Waarabu ni ndugu zetu?

Umedhamiria ama uko sahihi Chief?!
 
Wewe ni muisrael hadi uabudu huyo Mungu wao? Huyo Mungu wa Israel ndiye huyo kaletwa na wazungu kwenye meli, ili kuwafanya muwe makondoo wawatawale vizuri!! Walimtumia huyo Mungu wako kuwapiga chains babu zako na kuwatumikisha kama wanyama
Ndiyo mimi ndo ninayemwabudu huyo Mungu Mkuu, muumba wa mbingu na nchi na huyo ndo Mungu wa Israel, siabudu miungu wala mizimu.......sawasawa?
 
Kila mtu atakufa...

Ila kuwa msomi na bado ukaikata njia iliyoonekana ni muhimu kujikinga na kuokoa maisha huo ndio upumbavu .

Ni sawa na wewe uone sehemu inawaka moto na wewe useme ngoja nitumie petrol kuuzima na sio maji au vitu vingine vya kuzimia moto..

Tulipewa akili tuzitumie ila kuna watu walikufa kwa kuendekeza ujinga
jamaa usitukane waliokufa ... Huo unaouita ujinga ndo unatufanya kuishi hata leo, acha kutukana nduguzo kisa wadhungu
 
Back
Top Bottom