#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

Nyie jamaa wapuuzi sana, hao wazungu waliowaletea hao miungu mnaowaabudu, biblia na huo uchafu mwingine wanachanja! Nyie mlioletewa hivyo vitu ili muwe makondoo wawatawale vizuri hamtaki kuchanja, kwa hakika itatuchukua muda mrefu waafrika kufunguka bongo zetu
Kwanini unafikiri wameletewa afrika ili ndio wawe makondoo wakati karibu dunia kote hiyo imani ipo?
 
Lockdown imewashinda kivpi wakati wameshachanja ndio wakapunguza restrictions?? Au ulidhani lockdown ni permanent solution??
Wape faida lockdown ilikuwa kwa ajiri ya nini ili aweze kuona mwenyewe ni vp imesaidia.
 
Kwanini unafikiri wameletewa afrika ili ndio wawe makondoo wakati karibu dunia kote hiyo imani ipo?
China kuna 1.4 bil people hawaamini huyo mungu wa Israel, India 1.3 bil hawaamini pia, duniani kote wapi huko?
 
China kuna 1.4 bil people hawaamini huyo mungu wa Israel, India 1.3 bil hawaamini pia, duniani kote wapi huko?
Hata kama ni kwa uchache ila hiyo imani ipo huko na hadi Arabuni hiyo imani ipo ila hawana mitazamo kama uliyokuwa nayo wewe mkuu.
 
Hata kama ni kwa uchache ila hiyo imani ipo huko na hadi Arabuni hiyo imani ipo ila hawana mitazamo kama uliyokuwa nayo wewe mkuu.
Ndiyo maana tuna uhuru wa kuabudu, kwa upande wangu siamini kabisa hayo makitu mkuu
 
Ndiyo maana tuna uhuru wa kuabudu, kwa upande wangu siamini kabisa hayo makitu mkuu
Wewe kutokuamini isiwe sababu ya fikra za kwamba hiyo imani imeletwa afrika ili kuwafanya waafrika kuwa makondoo kana hiyo imani imeletwa afrika tu.
 
Wewe kutokuamini isiwe sababu ya fikra za kwamba hiyo imani imeletwa afrika ili kuwafanya waafrika kuwa makondoo kana hiyo imani imeletwa afrika tu.
Methods 3 zilizotumika kuwatawala Afrika mojawapo ni dini, History ya Primary school hiyo, walihakikisha wanamezesha watu ukondoo ili wawatawale vizuri. Wengine hadi leo hii ni makondoo wa vibwetere wao
 
Methods 3 zilizotumika kuwatawala Afrika mojawapo ni dini, History ya Primary school hiyo, walihakikisha wanamezesha watu ukondoo ili wawatawale vizuri. Wengine hadi leo hii ni makondoo wa vibwetere wao
Unaweza kutumia chochote kufanya lolote hiyo haina maana hicho unachokitumia kufanikisha mambo yako ndio tatizo,ukilijua hilo hiyo hoja yako inakuwa haina mashiko.
 
Unaweza kutumia chochote kufanya lolote hiyo haina maana hicho unachokitumia kufanikisha mambo yako ndio tatizo,ukilijua hilo hiyo hoja yako inakuwa haina mashiko.
Hiyo imani ya huyo Muisrael inasema watu wote wasiomuamini yeye wanaenda kwenye moto, approximately kwa population ya sasa ni more than 5bil wataenda huko!!! Do you believe this kind of shite?
 
Hiyo imani ya huyo Muisrael inasema watu wote wasiomuamini yeye wanaenda kwenye moto, approximately kwa population ya sasa ni more than 5bil wataenda huko!!! Do you believe this kind of shite?
Msingi wa swali lako au hoja yako ni nini? kwa sababu siku zote kitu usichoamini ni rahisi kukiona ni cha kijinga, hata wewe unaweza ukawa unaamini kitu ila mwengine akaona ni ujinga tu hata akilini haiingii.
 
Msingi wa swali lako au hoja yako ni nini? kwa sababu siku zote kitu usichoamini ni rahisi kukiona ni cha kijinga, hata wewe unaweza ukawa unaamini kitu ila mwengine akaona ni ujinga tu hata akilini haiingii.
Sawa mkuu, tuachane na hii kitu, ni topic pana na controversial sana. Andaa bega hilo udungwe Jensen...
 
Nipe kwanza ithibati ya kumuita Binaadam mwenzio “Chimpanzee “!

Tuendelee baada ya hapo. .....Ahsante !
Kwanini unadhani kuna hitaji ithibati kumuita mtu chimpanzee?
Yaan unahitaji ithibati kujua hii ni fisi na hii ni Simba?.
 
Umekariri,hata tukikwambia kifo ni asili yako utapinga.sababu unaishi ndani ya box.

Katiba ipo,ama huna taarifa??

Nani kazuia chanjo??magufuli aliishawahi kuzuia chanjo??

Una taarifa kwamba mpaka sasa kila nchi ina vigezo vyake na aina yake ya chanjo,au hakuna kitu unaelewa??

Chanjo imeanza kutolewa mwaka gani mkuu???naona ni kama hata huelewi unachoandika.

Labda uthibitishe kwamba kila mtu alikufa kwa corona,otherways hakuna uhalali wa madai hayo.
Unaelewa maana ya Zamani??

Hujui aliyekuwa akizuia chanjo kwa kusema chanjo ni mkakati wa mabeberu wa kuua waafrica??

Kuhusu vifo hujiulizi why huyo huyo mzuia chanjo aligoma utoaji wa takwimu za kila siku either kwa wagonjwa wapya,waliopona na hata vifo ! Watu wengi tu waliugua na kupona kadhalika na vifo pia tangu May 2020 mzuia chanjo aliwahadaa mtembee kifua mbele huku wimbi la pili likizoa watu wengi January na February 2021.

Kuhusu vifo vya Covid related nadhani urudi darasani ujue kuwa uwepo wa covid kwa mtu mwenye pre-existing comorbidities ni contributing factor na ndio chanzo kitakachotumia kucertify death , mtu kama alikua na DM au HIV leo hii kimbunga covid kikamvaa kwa sababu hakupata chanjo kwa wakati utasema amekufa kwa covid au DM?

Haihitaji kuwa na PhD kujua tu walikufa watu wengi sababu hakukua na uwazi na kukosekana kwa uwazi ndio tabia hata za CCM kwenye chaguzi ! Kataa chanjo zurura hovyo ila covid ikikupata kama aliyesema ni futa tu pengine hutopata wasaa wa kuja hata kutoa ushuhuda..
 
Kila mtu atakufa...

Ila kuwa msomi na bado ukaikata njia iliyoonekana ni muhimu kujikinga na kuokoa maisha huo ndio upumbavu .

Ni sawa na wewe uone sehemu inawaka moto na wewe useme ngoja nitumie petrol kuuzima na sio maji au vitu vingine vya kuzimia moto..

Tulipewa akili tuzitumie ila kuna watu walikufa kwa kuendekeza ujinga
Unauhakika gani kama io ni chanjo ya kweli.?
 
Sasa hayo machanjo ya Pepopunda na Polio yaliopo kwenye Hospitali zetu ni Chapa ya Mnyama gani?
io pepopunda imechanja dunia nzima au sulua kwanini corona iwe dunia nzima tena kwakubembelezwa yani mtu uko fit unalazimishwa uwekwe chanjo kwanini..?
 
Back
Top Bottom