#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

Jiandaeni kisaikolojia kuchanjwa msije chanjwa mkaanza kutapika kwa uoga na hofu kumbe wala yasingetokea.
 
Kumbe naongea na mtu fyatu?

Jinga kabisa wewe, kusoma unajua ila hauelewi mbweha mkubwa wewe!

Jibu swali, Je, umewahi kuona kiwanda cha Damu? Kama hakuna, Damu asili yake ni nini?

Halafu unaleta mipasho kama waimba tarabu hapa!!!
 
Kumbe naongea na mtu fyatu?

Jinga kabisa wewe, kusoma unajua ila hauelewi mbweha mkubwa wewe!

Jibu swali, Je, umewahi kuona kiwanda cha Damu? Kama hakuna, Damu asili yake ni nini?

Halafu unaleta mipasho kama waimba tarabu hapa!!!
Ukijua mtu fyatu halafu ukajibizana naye zaidi, basi wewe utakuwa fyatu zaidi yake.

Kwa nini swali liwe la kiwanda?

Habari ya kiwanda cha damu unaitoa wapi?

Hujajibu swali hili.
 
Good!
 
Binafsi uwa nakubaliana na wazungu kutuita manyani, kwa reasoning ya namna hii tukitwa kima tunafula!!.
Pole yetu.
 
We kweli ni Kiranga!! kwa kichaga kiranga tafsiri yake ni hii

"Mwenye kiranga hasikitiwi wala akifa hawekewi matanga".
 
Binafsi uwa nakubaliana na wazungu kutuita manyani, kwa reasoning ya namna hii tukitwa kima tunafula!!.
Pole yetu.
Ni sawa mkuu. Hata hivyo kuna ukoo wa manyani kama ukoo wako. Na ukoo wa binadamu. Kwa hiyo hawajakosea na wewe uko sahihi mkuu
 
Ni sawa mkuu. Hata hivyo kuna ukoo wa manyani kama ukoo wako. Na ukoo wa binadamu. Kwa hiyo hawajakosea na wewe uko sahihi mkuu
Reasoning yako umejaa unyani tupu.

Ni kusaidie tu: hakuna mzungu anaepanga njama za kukuua, kumuua mtu mweusi hakuhitaji njema.
Huu ujinga wa kuhisi kuna watu wanapanga njama dhidi yao umebaki Africa tu.
Hata waarab ndugu zetu wanatushangaa aisee. Tumekuwa watu wa kulia lia tu.
 
Kwa utumbo wako huo hata ukoo wenu wa manyani watakukataa. Unaishi na waarabu mkuu?. Ndio maana una tabia hizo...
 

Kwamba Waarabu ni ndugu zetu Waafrika?!?
 

Kwamba Waarabu ni ndugu zetu?

Umedhamiria ama uko sahihi Chief?!
 
Wewe ni muisrael hadi uabudu huyo Mungu wao? Huyo Mungu wa Israel ndiye huyo kaletwa na wazungu kwenye meli, ili kuwafanya muwe makondoo wawatawale vizuri!! Walimtumia huyo Mungu wako kuwapiga chains babu zako na kuwatumikisha kama wanyama
Ndiyo mimi ndo ninayemwabudu huyo Mungu Mkuu, muumba wa mbingu na nchi na huyo ndo Mungu wa Israel, siabudu miungu wala mizimu.......sawasawa?
 
jamaa usitukane waliokufa ... Huo unaouita ujinga ndo unatufanya kuishi hata leo, acha kutukana nduguzo kisa wadhungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…