View attachment 1873700Sikiliza MATAGA..
Mwaka 2011 Babu wa Loliondo alipozindua kikombw chake huyo mungu wenu wa chato na watanzania wengine bila kushinikizwa walienda kwa hiyari yao kupata kikombe .
Kikombe hicho kuna watu immediately baada ya kukipata walipona na kuna wengine hawakuchukua muda walipoteza maisha....
Hakuna therapeutic profile studies zilizofanyika kuhusu kikombe kile bali watu walienda kwa hiyari yao na akiwemo jiwe mwenyewe
Guess what 2020 ugonjwa wa UVIKO umekuja ugonjwa , watu wahitaji chanjo yeye anazuia wakati duniani inatumika😀!
Watu wangapi walihitaji chanjo kutokana na pre-existing comorbidities walizokua nazo na waliikosa hadi kufariki baada ya kupitiwa na wimbi la pili?
Jiwe alikuwemo kwenye clinical trial ya hicho kikombe? Pharmacognosy jiwe aliisoma wapi kuweza kupata kikombe ambacho kipindi hicho hakikuwahi kuthibitishwa na mamlaka yoyote kuwa ni salama au si salama?
Watu wangapi walikiamini hiki kikombe wakaacha dawa zao kutokana na magonjwa yao ya muda mrefu wakafariki???
Wangapi walipata drug-drug interaction kutokana na kutumia both synthetic na herbal products..??
It's high time MATAGA Mkae mtafakari kiburi cha boss wenu na wasaidizi wake kiligharimu maisha ya watu kwa wave ya 1 na ya 2 huku mkiweka kando misifa ya kijinga na kuangalia utu!