Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huwezi kujiuliza kwa nni siku hizi tunapata mikopo mingi na wanatoa kwa wakati, tofauti na zamani wanatoa mikopo kisha hawaitoi mpaka kipindi kinaisha?
Pamoja na yote bado anayo haki ya kupongezwa kwa kuzisimamia.
Unajua terms za huo mkopo mpaka useme zinakuja kwa wakati? Ungekuwa unajua vipengele vya huo mkopo wangalau. Hivi huku kanda ya kusini mbona sioni ikipatiwa miradi ya bei kubwa kama huko kanda ya ziwa? Kuna nini kanda ya ziwa sasa hivi?