Ufaransa yaikopesha Tanzania zaidi ya Tsh. bilioni 500 kwa miradi ya REA na maji Mwanza

Ufaransa yaikopesha Tanzania zaidi ya Tsh. bilioni 500 kwa miradi ya REA na maji Mwanza

Wakati.mwingine muwe mnaacha ujinga, hapa tuanazungumzia mkopo hatuzungumzii hiyo kanda sijui ya kusini, pia ujue huo mkopo haujatoka sasa kusini na kanda ya ziwa vinatoka wapi?
Pia uache mambo ya ukanda, ukitaka ukanda muulize membe pesa za gadafi alipeleka wapi?

Kwahiyo na hizo za ufaransa zitaliwa Kama zile za Gadafi?

Polepole Ana kazi Sana badala apange Safu ya watoa hoja za msingi ktk propaganda... Naona Sasa ameamua kuajiri waimba taarabu na mapambio.

Pole CCM naona inazidi kupotea kwa Kasi Sana ajabu...
 
Hapa tuanazungumzia mkopo hatuzungumzii hiyo kanda sijui ya kusini, pia ujue huo mkopo haujatoka sasa kusini na kanda ya ziwa vinatoka wapi?

Pia uache mambo ya ukanda, ukitaka ukanda muulize membe pesa za gadafi alipeleka wapi?

Kusini na kanda ya ziwa mbona zinaeleweka tu. Huku kusini nimuulize Membe kwani alikopa kwa Gaddaf? Kwahiyo hii iliyoenda kanda ya ziwa Magufuli amemkopa kaka yake Gaddaf?
 
Kusini na kanda ya ziwa mbona zinaeleweka tu. Huku kusini nimuulize Membe kwani alikopa kwa Gaddaf? Kwahiyo hii iliyoenda kanda ya ziwa Magufuli amemkopa kaka yake Gaddaf?

Kusini kuna mabarabara na mahospital na meli zinajengwa wewe huoni tu au upo kipofu
 
Halafu anatokea mmoja wa wale konkodi wa unywaji wa faru John eti "tutatengwa tutatengwa".

Mi nauheshimu UHUSIANO wenye KUHESHIMIANA,KUTOWEKEANA MASHARTI KOKO NA PARTNERSHIP ya win-win situation!
 
Back
Top Bottom