Wakati.mwingine muwe mnaacha ujinga, hapa tuanazungumzia mkopo hatuzungumzii hiyo kanda sijui ya kusini, pia ujue huo mkopo haujatoka sasa kusini na kanda ya ziwa vinatoka wapi?
Pia uache mambo ya ukanda, ukitaka ukanda muulize membe pesa za gadafi alipeleka wapi?