Ndugu yangu, (Umeniwahi🙂 Nimekaa leo na mimi nikijiuliza swali hilo hilo kuwa kwani elimu ya Tanzania sasa ikoje (kwa mantiki ya kuwa imerahisishwa kwa kisasi gani.
Nakumbuka miaka ya 80's huko let say shule yenye graduate 200 wa Form 4 unaweza kuta Div 1 may be 13,, Div 2 labda 35, Div 3 may be 50 (and still selected to Form 5), Div 4 - 80 (these are still selected to go to colleges) and may be 20 ( Div 0)
Siku hizi naona Class ya graduate 150 unakuta 75-80 Div 1, halafu Div 2 - 50, Div 3 -25, Div 4 =6-8, Na Div 0 (Nothing🙂
Hii trending imekuwa ikinipa shida sana kuielewa kwamba tatizo ikuwa ni sisi watoto wa siku hizo ama hawa ma GenZ ndio wenye uelewa mpana kushinda sisi🙂?
Lakini pia cha ajabu ni kuwa watoto waofutiwa mitihani trending yao ni kubwa sana na hii ni (indicator) kwamba things are not right somewhere,...It looks like cheating during exams has been very rampantly.
My two cents contribution.