Ametumia mbinu inaitwa " Playing Possum "...yeye mwenyewe amekiri.Jamaa alikuwa kama anaenda kuloose kama ile ya mwisho mazingira yaleyale ila kambe kuna timing fulani katarget .
Ile ngumi ni hatar perreira kakaa chini
Otherwise kichapo kingehusika kwa mara ya Nne.
Alex yupo fit.
Adesanya akiombwa rematch akatae...akikubali tu ndio kifo chake hakika nakuambia...