UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Mwaka wa uchaguzi huu tutaona na kusikia mengi sana.
 
Changu ni changu chota chako kwingine!!!! Kiiiiila scandal ni bn of money,
 

Language barrier! Naombeni mnitafsirie jamani!
 
Mmh kumbe Mtanzania ni mtu wa ajabu sana, yaani tumewazidi hata wakenya kwa ufisadi, kweli mtaaminika vipi nchi za watu watanzania!
 
Mwaka wa uchaguzi huu tutaona na kusikia mengi sana.

Utakosaje kusikia na hizo pesa ndo zinafanya expense mwaka wa uchaguzi,

hili litawatoa madarakani maana muda wa kulighulikia hata kwa 5% haupo,
Wapinzani kwa source zile zile zilizo-reveal evidence za EPA na ESCROW zitumike kupata eveidence za kupigia nyoka kichwani!

 
Kumbe ulikuwa hujui kuwa tunatawaliwa na wahindi??
 

Hata BAE iko listed soko la london lakin ilipiga Fraud la rada kwa nchi kibao thats not a reason to be listed doesnt mean they do clean business
 
hebu mkuu tufanyie tena hesabu,iwapo watanzania milion 20 watatumia vocha ya 500 ~~~itachukua fmiaka mingapi hadi vocha trilion 1 kutumika.mi napata miaka mingi tu,au naeza kuwa nakosea

Shida yako ni kua ulishaweka imani kwa huyo mwanamahesabu wako bila wewe mwenyewe kufikiri, Inawezekanaje Tshs 600Billion ugawe (sio uzidishe) kwa Tsha 500 jibu lije kwenye Trillion? Nawe umeamini tu kiasi unampa na hesabu zingine akufanyie?

Ndio hivi hivi Watanzania tumewakabidhi Ma-CCM akili zetu watushikie.
 
calculation nimefanyia ktk spreadsheet manake hakuna calculator inaweza ku accommodate figure hiyo:
675,000,000,000/500= vourchers 1.35 trillion.
Elungata upo hapo?
wamekula wengi hapo Vodacom

Wacha uongo wewe, unapochukua namba yoyote (mfano billion kadhaa) kugawa kwa namba iliyozidi moja, jibu lazima liwe dogo kuliko ile namba ya mwanzo.

Wewe umepataje 600billion/500 ije kua trillion tena??? Unless uwe umegawa kwa (1/500) ndio Mwishowe utaishia kuzidisha 600bil x 500.

Otherwise rudi shuleni tena, na kama ni computer imekupa hivyo basi wote wewe na Computer mmpelekwe kwa Fundi!
 
Ikawa usiku, ikawa asubuhi siku ya pili. Tunasubiria mengine tuongee tena
 
Sawa usiwe na wasiwasi ,habari inasema diamond katoa nyimbo mpya.

You don't know even to use Swahili which is your national language so is better if you stay aside frome me. "Nyimbo" mpya! instead of "Wimbo" mpya" Who was your Swahili teacher in primary/secondary school?

What I mean is that If this thread was in SWAHILI it could have got many comments than as it is in English
 
couldthis be the reason as to why zile recharge vouchers za 2000 za shivacom hazipatikani tena..?!
 
Pesa kwa ajili ya uchaguzi mkuu. Ufisadi wa namana hii unachangia kuporomoka kwa yhamani ya Tshs
 
Sawa usiwe na wasiwasi ,habari inasema diamond katoa nyimbo mpya.


kweli wewe nyalu tena wa milimani
wimbo mpya 'mmoja'
nyimbo mpya 'mbili na kuendelea'
kumbuka jamaa hakutaja idadi ya nyimbo.
lkn pia kwenye kimakonde hatunaga "so is better" mbaya, chafu, haipo,
 

Da sijui nani ni nani...
 
So Vodacom Tz is the victim then.Ok,though am curious who would care for corruption in a private bureaucratic corporate???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…