Usiassume kwamba mimi nina chama. Labda hauifahamu historia ya jamvi hili.Bwana Mushi, usirushe mawe ungali ndani ya nyumba ya vioo. Unakumbuka ile bahasha ya mwaka 2015 iliyowafanya mkabadili gia angani na kudeki barabarani ilitoka wapi? Akina Mdee na Lema wanajua vizuri maana kila mmoja alililamba vipande 300. Endelea kurusha mawe.
Kuna wakati ff huwa unanisikitisha kwa majibu yako. Inshu hapo si ukale au usasa wa tukio, inshu ni jinsi gani hii kadhia iliisha na huku watuhumiwa wakiwa wanaonekana na mh. Rais wetu anayejibainisha kuwa mchukizi wa rushwa.Ililetwa zamani sana hii, haina mashiko.
Sawa. Umefurahi?Huna hela wewe wenye hela hawana majungu ya kike na hawaweki ID feki, mpelekee jpm hizo taarifa akupe ukuu wa wilaya.
Thanks a lot!👍🏽🙏🏾Kuna wakati ff huwa unanisikitisha kwa majibu yako. Inshu hapo si ukale au usasa wa tukio, inshu ni jinsi gani hii kadhia iliisha na huku watuhumiwa wakiwa wanaonekana na mh. Rais wetu anayejibainisha kuwa mchukizi wa rushwa.
Mtoa mada na wengineo wanapata maswali, je mheshimiwa rais atawachukulia hatua kama zinachukuliwa kwa ufisadi uliojitokeza hata miaka 20 nyuma.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Kama ilivyo ngumu kuitenganisha ccm na mauaji & ufisadi
Kwamba hao waliotajwa hawakuiba?Ililetwa zamani sana hii, haina mashiko.
Sawa! Kama kuchukia ufisadi ndo udini, basi hiyo ndiyo dini yangu ya kwanza kabisa!
Hii mada haikufai, nimegundua wewe ni wa vijiweni muokota habari. Nenda FB ndio size yakoInatakiwa mfichue mapema sana mijipesa ambayo Mbowe alihongwa 2015 maana yaweza kuwa ni sehemu ya hizo pesa zilizo ibiwa vodacom
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu please tag me.
Acha kujishushia credibility yako! Ni kweli umjinga but not to that extentBwana Mushi, usirushe mawe ungali ndani ya nyumba ya vioo. Unakumbuka ile bahasha ya mwaka 2015 iliyowafanya mkabadili gia angani na kudeki barabarani ilitoka wapi? Akina Mdee na Lema wanajua vizuri maana kila mmoja alililamba vipande 300. Endelea kurusha mawe.
Kuna wakati ff huwa unanisikitisha kwa majibu yako. Inshu hapo si ukale au usasa wa tukio, inshu ni jinsi gani hii kadhia iliisha na huku watuhumiwa wakiwa wanaonekana na mh. Rais wetu anayejibainisha kuwa mchukizi wa rushwa.
Mtoa mada na wengineo wanapata maswali, je mheshimiwa rais atawachukulia hatua kama zinachukuliwa kwa ufisadi uliojitokeza hata miaka 20 nyuma.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Matusi gani?Ustaarabu ndo nini?Kama ina uhusiano na uarabu, the https://jamii.app/JFUserGuide it.
Upupu ulete wewe, ukuwashe wewe, nikukune mimi?
sio ufisad!!Ililetwa zamani sana hii, haina mashiko.
Kama ni upupu makalio unaweka hapa ya nini? Soggy ass.
Acheni unafiki, huyu Fred Lowassa alikuwepo CHADEMA juzi tu kaonsoka hamkumsafisha wala kumuuliza ajisafishe na kashifa hii kabla ya kuingia CHADEMA.Alifungua mahakama ya mafisadi hajafunga hata mmoja
Something needs to be done
Kuna mtu anasema ya zamani... udini utakuumiza
Usitugawanye WaTz kwa udini wako ....huyu ni wa kupuuzwa kama sikio la PUNDA
HATA KAMA YA ZAMANI So what?! Tuna haki ya kujua pesa za walipa kodi zinaenda wapi
Acha tufukuliwe makaburi maybe one day this idiots thieves will be apprehended..
Enough is enough