lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,038
Hebu tutafakari kidogo.....
...hivi katika mambo kama haya huwa tunasema "Rostamu na wenzake wamejaliwa na Mwenyezi Mungu" au tusema kuwa "Watanzania tumelaaniwa" ...sijui na Mungu huyo huyo aliyewajalia akina Rostam au 'msaidizi mungu'.
Naandika hivi kwa sababu yote haya yanatokea lakini 'wananchi' tumetulia kama maji ya kwenye mtungi!
...hivi katika mambo kama haya huwa tunasema "Rostamu na wenzake wamejaliwa na Mwenyezi Mungu" au tusema kuwa "Watanzania tumelaaniwa" ...sijui na Mungu huyo huyo aliyewajalia akina Rostam au 'msaidizi mungu'.
Naandika hivi kwa sababu yote haya yanatokea lakini 'wananchi' tumetulia kama maji ya kwenye mtungi!