UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Hili nalo litasubiri mpaka Tumbiri alipigie kelele bungeni ndiyo serikali istuke!!

Au ile sheria ya mtaandao ilitengenezwa kwa ajili ya kuzuia scandal kama hizi siyo!!
 
Bwana ametoa voda sh.wametwaa jinalake....
 
Vodacom lazima walikua wanajua hili deal,maana kila vocha inayooingizwa na mteja inaonekana kwao,pia reconciliation ya mauzo,airtime lazima inaonekana.Nchi ya wadanganyika.Vodacom ni mradi wa ccm
 
Enzi za Mao tse Dong au Aldof Hitrel watu kama nyie alikuwa anawatandika Risasi tu maana mlikuwa mnachelewesha maendeleo.

Mwabga lutila uhampata vizuri kayaman.
Amejibu majibu yatolewayo na watawala na sio maoni yake.soma tena
 
Inauma sana kuona hizo pesa zinavyoibiwa, ila inauma zaidi kuona hawa wahindi ndio wezi wetu wakuu.. I honestly hate these Indians, kutubagua watubague kwenye nchi yetu na bado kutuibia wanatuibia. CCM mmezidi kuwakumbatia hawa mbwa na hasa ni kwasababu ni wafadhili wenu wakuu..
 
Dah rostam again n again loh
Shame sumaiya

Mkuu unahasira umesanda njaa kali...watu wanapakua pilau la kuku ki ulaini we unashindia dagaa.
Sio zali la mentali bali Akili.

Kuna mtu aliwahi niambia, kama ww ni msomi wa viwango vya juu, usije ukalogwa ukaondoka bongo. Tumia maarifa na elimu yako kufanya biashara Tz. Nlitafakari sana yale maneno nikaona ni ukweli mtupu.
 
hebu tutafakari kidogo.....
...hivi katika mambo kama haya huwa tunasema "rostamu na wenzake wamejaliwa na mwenyezi mungu" au tusema kuwa "watanzania tumelaaniwa" ...sijui na mungu huyo huyo aliyewajalia akina rostam au 'msaidizi mungu'.
Naandika hivi kwa sababu yote haya yanatokea lakini 'wananchi' tumetulia kama maji ya kwenye mtungi!

hahaaha lukindo naelekea.chooni gaflantaruditena
umademaday
 
Hapo anayetafutwa na kuchafuliwa ni lowasa kisa,fred anamiliki alphatel ili mje mseme hizo ndo hela anazotumia lowasa kufanyia kampeni,jamani mbona mnamuandama mzee wa watu bila sababu,gwajima alishawaambia

Mtoa maada amekuja na data za kutosha, wewe hapa sasa unaongea milimo na songisongi nyingi bila data yoyote. nadhani huyu EL anakunani...............sehemu Fulani!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu unahasira umesanda njaa kali...watu wanapakua pilau la kuku ki ulaini we unashindia dagaa.
Sio zali la mentali bali Akili.

Kuna mtu aliwahi niambia, kama ww ni msomi wa viwango vya juu, usije ukalogwa ukaondoka bongo. Tumia maarifa na elimu yako kufanya biashara Tz. Nlitafakari sana yale maneno nikaona ni ukweli mtupu.

Ni kweli mkuu, bongo ukiwa mastermind unapiga pesa sana.. Ila tatizo mpaka kuzipata hizo tender na michongo mikubwa mikubwa ndio ishu, unless u sell your ideas to them for a commission au uendelee kukaa nao kichwani ukisubiri a system to favor u. Mirija yote ya pesa imeelekezwa kwa Wahindi na ndio wanachukua tender zote za mabilioni na sie tukiachiwa za vimilioni.. Nenda kwenye Phonebook ya Procurement Officer yeyote wa wizara or any other big authority lazima utakutana na majina kibao ya kanjibahi..

Kama uko kwenye system tayari unaweza kucheka, if not I can see how u struggle to get in there, na ni lazima uwe na kadi ya CCM mfukoni hahahaha. "Hii injii hii in Mrema's Voice"
 
tusiwe watu wenye akili ndogo, na wenye uvivu wa kufikiri na kufanya utafiti kabla ya kuropoka.

1. Kashfa yoyote itokeapo, utaona cha kwanza watakacho kimbilia ni kuishutumu ccm na rais, lakini hatuangalii ni wapi tatizo lilipo. Japo maneno yao hayakosi kaa ukweli kuwa serekali inapaswa kuwa macho na kuhakikisha mambo kama hayo hayatokei.

2. Serekali inajitahidi kuwaletea ajira wananchi wake, ni watu kama mimi na wewe tunaopewa majukumu, ndani ya idara zote husika kuchunguza, kulinda na kusimamia utekelezaji mzuri wa majukumu tuliyopewa, lakini utaona tumekuwa na mila ya kutafuta urahisishaji wa mbinu za ufujaji na kutafuta rushwa kwa nguvu, we dont look for employement to build a carrer, but we look for opportunity to earn wealth corruptly.

huu ndio wakati muhimu kujihami na tuambiane ukweli, kwa hii tabia tuliyonayo hivi sasa, hata aje nani (yesu/muhamad) hatuwezi kuwa rai watiifu au watendaji wazuri, kwani sisi tuliopo hapa jukwani tuko corrupt, na corruption inaanza na kutokuwa mkweli, mwenye kupendelea bila kuangalia haki, mwenye kutupa lawama mbali ili hali haikugisi wewe na uwapendae.

3. Jee hii scandal amboyo ni kutokea 2008, hivyo wabunge wote hayo hawakuyaona.

4. We need self education on the evilness of corruption, before we start pointing fingers. Ask yourself are you free of corruption, do you fight it, do you preach against it.

kwa hili la vodacom, justice has to take place
 
Hebu anaewezq ku-copy km ilivyo na kuiweka kwny mitandao mingine afanye hivyo ili huu uozo ussmbae nchi nzima na dunia yote! Tukisema Lowassa ni mchafu kunq mijitu inapinga, shame on u!
 
Ni kweli mkuu, bongo ukiwa mastermind unapiga pesa sana.. Ila tatizo mpaka kuzipata hizo tender na michongo mikubwa mikubwa ndio ishu, unless u sell your ideas to them for a commission au uendelee kukaa nao kichwani ukisubiri a system to favor u. Mirija yote ya pesa imeelekezwa kwa Wahindi na ndio wanachukua tender zote za mabilioni na sie tukiachiwa za vimilioni.. Nenda kwenye Phonebook ya Procurement Officer yeyote wa wizara or any other big authority lazima utakutana na majina kibao ya kanjibahi..

Kama uko kwenye system tayari unaweza kucheka, if not I can see how u struggle to get in there, na ni lazima uwe na kadi ya CCM mfukoni hahahaha. "Hii injii hii in Mrema's Voice"

Seriously mimi simchukii kabsa mtu mwizi ili mradi asitoe uhai wa mtu. Cz it makes u think deeply huyu mtu ananipigaje hela zangu bila mimi kujua...its either im too stupid or he/she is more brighter than me hence i need to get more advanced. Ndio maana kuna watu wanalipwa hela kibao ku hack technology services ili weaknesses zijulikane.

Huku duniani kuna watu ni ma excellent strategists. Wakipanga kitu hakirudi nyuma but all they lack is funds....na unakuta classwise ni very average. These people make excellent business people (Note: kuna difference between a business person and an entrepreneur). Mtu unakuta ni business architect ana maneuver hana mtaji hata wa tsh 100 mwisho wa siku anavuna billions. Honestly such people inspire me a lot.
 
Nadhani kwa habari kubwa kama hii ni vyema tungepewa chanzo. Isije ikawa kujazana chuki kwa story za vijiweni

Source reliable zote ziko kimya kwani mafisadi wamezidhibiti, sasa wanaotoa mambo haya makubwa ni wazalendo kwa kujificha. kwani hujui hata zile scandal kubwa kubwa zote source zilizotakiwa zitoe hizi ripoti zilikuwa zinasema ni uzushi lakini baada ya mbinyo mkubwa ikafahamika ni ukweli mtupu?
 
OMG!

Hii nchi kila mtu anakwapua awezavyo.

========
hahaah!!! kila mtu ni mpigaji. hapo kwa rene meza ndiyo patamu, yani jamaa kaja voda kakuta noma then akataka mpunga apige kimya! ni balaa.

  • Insiders say Vodacom Tanzania's MD, Rene Meza, found out about the scandal after just arriving in Tanzania from Kenya to take up the position of Vodacom Tanzania managing director.

    "
    Rene Meza confronted Tanil about the scandal and demanded a $10 million kickback to keep quiet. Tanil arrogantly told him to piss off, so Rene retaliated by instructing Vodacom's legal counsel to write a letter to Shivacom to terminate the electronic recharge voucher agreement for breach of contract," said a well-placed source.
 
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Poleni Sana Ndugu zangu Mnaotumia Vodacom! 2015 aluta continueeeeeeeeee:rockon:
 
Baada ya miaka mitatu mpaka mitano kwa staili hii tutafilisika kama Ugiriki
 
Seriously mimi simchukii kabsa mtu mwizi ili mradi asitoe uhai wa mtu. Cz it makes u think deeply huyu mtu ananipigaje hela zangu bila mimi kujua...its either im too stupid or he/she is more brighter than me hence i need to get more advanced. Ndio maana kuna watu wanalipwa hela kibao ku hack technology services ili weaknesses zijulikane.

Huku duniani kuna watu ni ma excellent strategists. Wakipanga kitu hakirudi nyuma but all they lack is funds....na unakuta classwise ni very average. These people make excellent business people (Note: kuna difference between a business person and an entrepreneur). Mtu unakuta ni business architect ana maneuver hana mtaji hata wa tsh 100 mwisho wa siku anavuna billions. Honestly such people inspire me a lot.

I mostly agree with u.. That doesn't need a first class degree or MBA, Just being smart in a real world.. Lakini it happen u want to push something lakini hawa Indians wakiona hiyo kitu itabreak their chain watafanya kila kitu wakizuie. Hakuna dili lolote kubwa ambalo a humble Tanzanian utafanya pasipo muhindi nyuma yake as unaona kila kashfa ya ufisadi hapa nchini wahindi wako nyuma ya hizo ishu.

Siwezi zuia watu kuwa ma'mastermind na kupiga pesa hivyo lakini why lazima kuwe na muhindi nyuma ya kila kitu?? Ni kama vile tunatawaliwa na wahindi bila kujijua ndio maana mpaka rais wanatuwekea wao, au ni kwamba hatuko smart kuzifanya hizo ishu wenyewe bila wao??
 
Back
Top Bottom