una fikra finyu.Hapo anayetafutwa na kuchafuliwa ni lowasa kisa,fred anamiliki alphatel ili mje mseme hizo ndo hela anazotumia lowasa kufanyia kampeni,jamani mbona mnamuandama mzee wa watu bila sababu,gwajima alishawaambia
Mpwa ongeana.Max.tuHone tunafanyaje.kakaShark jf akunamichongo.nasisi tutotokee hahaaae
Hebu tutafakari kidogo.....
...hivi katika mambo kama haya huwa tunasema "Rostamu na wenzake wamejaliwa na Mwenyezi Mungu" au tusema kuwa "Watanzania tumelaaniwa" ...sijui na Mungu huyo huyo aliyewajalia akina Rostam au 'msaidizi mungu'.
Naandika hivi kwa sababu yote haya yanatokea lakini 'wananchi' tumetulia kama maji ya kwenye mtungi!
tanzania ni kisiwa cha amani, nyie mnaoleta habari kama hizi hamna nia njema, hata tukilala njaa au tukiibiwa ni sawa tu kama tutabaki na amani yetu, miaka 51 ya muungano sio mchezo, hii ndio ccm hata upepo huu utapita tu!
Mijitu kama wewe ndo mtaji mkubwa wanaojivunia chama cha mafisi.