Tetesi: Ufisadi: Inasemekana kila mwanakikundi wa ngoma kutoka Bagamoyo walioenda Marekani matumizi kwa siku ni milioni 3!

Tetesi: Ufisadi: Inasemekana kila mwanakikundi wa ngoma kutoka Bagamoyo walioenda Marekani matumizi kwa siku ni milioni 3!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
ikulu_mawasiliano~p~Ccg_ZWfjwuM~1.jpg

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!

===
FACT CHECKED: Wasanii walioambatana na Rais kwenye Royal Tour si kweli kuwa wanalipwa kiasi hicho cha fedha kilichotajwa. Jamiiforums, inatambua kuwa wasanii wamelipwa kwa kazi na sio kwa siku. Na fedha wanayolipwa haifiki kiwango cha Tsh. milioni kwa fedha za kitanzania. Taarifa zaidi kukujia.
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki [emoji1]!
Mbona mwendazake alikuwa anahamisha ikulu kwenda chato na watu kibaoooo....!
Acheni nongwa mwacheni mama.
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Nyie mmekula na kuvimbiwa enzi za JIWE wacha na wao wale kwa CHUI JIKE...

kuimba ni kupokezana.
 
sasa 3MIL pamoja na hotel kwa siku USA kuna tatizo gani? .... huoni kama wakirudi watakuwa na salio la kutosha mfukoni ambalo watalileta huku beach kidimbwi na kugawana na wazalendo wengine...
 
wakibana bana na kubaki na salio angalau watakuja kununua viwanja huku bongo, next royal tour pale Moscow kwa Putin watapiga tena kadhaa za kumalizia mijengo nao watapata pakujihifadhi na familia zao...NDIO MAANA YA KUFUNGUA UCHUMI sio kuweka hela kwenye mahandaki na kujifanya kubana matumizi wakati watu wanataka hela izunguke..
 
Milioni tatu hizo ni dola karibia 1500 kumbuka wako jiji la new york mi naona wamewaonea sana itakua wanalala vichochoroni huko na hamna hata kula bata..
Umeniwahi. Kwa exchange rate ya Leo wanapata Dola 1300 tu. Wakijifanya kula misosi kama ya home watarudi na mabegi tupu. Menu za misosi ukizikuta utadhani ni pesa kiduchu tu. Ukizibadilisha kuwa madafu hautakula. Jambo lingine ni Inflation marekani Iko juu kidogo.
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Mbona kidogo sana
 
wakibana bana na kubaki na salio angalau watakuja kununua viwanja huku bongo, next royal tour pale Moscow kwa Putin watapiga tena kadhaa za kumalizia mijengo nao watapata pakujihifadhi na familia zao...NDIO MAANA YA KUFUNGUA UCHUMI sio kuweka hela kwenye mahandaki na kujifanya kubana matumizi wakati watu wanataka hela izunguke..
Upo sahihi mkuu. Nilijua Mwigulu na Rizone kumbe watoto wa wakulima. Wacha wapate keki ya taifa na wao
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Leo zamu ya nani kusafisha kabuli hapo chato?
 
Back
Top Bottom