Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

Mchambuzi wa maswala ya kijeshi ya vifaa vya kivita akihojiwa na CNN amesema kuwa Urusi kila mwaka imekuwa ikitenga mabilioni ya dola kununua vifaa vya kivita, kutengeneza na spea Zake lakini pesa hizo zimekuwa zikiishia mifukoni mwa magenerali wa Jeshi na Putin na kwenda kuzificha nchi za Magharibi hazifanyi kazi kusudiwa

Hawanunui wala kufanyia service vifaru na magari ya kivita na ku test mara kwa mara.Matokeo yake mfano matairi ya magari ya kivita mengi ni low quality ya kutembea kilomita chache na kuharibika hawakuweka yale imara ya kutembea kilomita nyingi pasipo kuharibika

Kutokana na vifaru na magari ya kivita kutofanyiwa service na kujaribiwa mara kwa mara Jeshi la Urusi limejikuta mengi yakiwemo vifaru kuharibika ghafla njiani na magari kuharibika njiani na matajiri kupasuka hovyo .

Akaonyesha picha za baadhi ya magari yaliyopelekwa Ukraine ya kivita yale yanayobeba makombora yakiwa ni yale yaliyotumika vita ya Iraq yakiwa yametelekezwa Ukraine na wanajeshi wa Urusi baada ya kuharibika wakayaacha yakiwa na makombora yake ambayo hayajatumika kabisa na kukimbia, hivyo kusababisha ushindi wa bure kwa Jeshi la Ukraine kwenye hayo maeneo
 
Nakupa wiki moja uje uandike tena.

Kwani operation hii imejawa na propaganda na uongo mwingi.

Pia tayari Kuna majeshi ya nchi nyingine yamo ukryein yanapigana na mrusi kimya kimya,Ila chamoto watakiona kwani Sasa itapigwa vita ya moja kwa moja badala ya kwenda kwenye ground nadhani habari ya Jana umeipata
 
Nakupa wiki moja uje uandike tena.

Kwani vita hii imejawa na propaganda na uongo mwingi.

Pia tayari Kuna majeshi ya nchi nyingine yamo ukryein yanapigana na mrusi kimya kimya,Ila chamoto watakiona kwani Sasa itapigwa vita ya moja kwa moja badala ya kwenda kwenye ground
Unajidanganya , hii vita ni terrible Kwa Russia , na wanaenda kummaliza....ni kiporo walichokitaman mda mrefu
 
Unajidanganya , hii vita ni terrible Kwa Russia , na wanaenda kummaliza....ni kiporo walichokitaman mda mrefu
Hakuna terrible yoyote hapo mission ilikua ni kuexpand territory ya urusi na imekua successful, maana donesky, lohansky, na odess tayari ipo full operated na mrusi ukiacha Crimea ndiyoo tayari ni sehemu kabisa ya urusi kwa hiyo blacksea yote IPO chini ya urusi kutokea upande wa ukrein. Kwahiyo the mission is 100% successful kwa urusi hata vita ikiisha leo.
 
Hakuna terrible yoyote hapo mission ilikua ni kuexpand territory ya urusi na imekua successful, maana donesky,lohansky, na odess tayari ipo full operated na mrusi ukiacha Crimea ndiyoo tayari ni sehemu kabisa ya urusi kwa hiyo blacksea yote IPO chini ya urusi kutokea upande wa ukrein . kwahiyo the mission is 100% successful kwa urusi hata vita ikiisha leo
Unalijua lengo la Urusi lakini? Au unakurupuka. Subiri wampukuchue mana hata hvyo walimmezea mate mda mrefu
 
Pamoja na hayo vita sio nzuri
Mwandishi nahisi kakubwa na msongo wa mawazo, yaani huyu UKRAINE ndio ashinde wakat jana kapigwa kitu kimoja tu anaomba mazungumzo ya haraka. Kwahiyo mtu akiteka siraha anakua anaomba mazungumzo ya haraka eeeh. Ukifatisha vyombo vya magharibi halafu ukawa umekosa akil unaweza ukajikuta unaandika vitu hata havifikiriki kwa akili ya kawaida tu.
 
Mwandishi nahisi kakubwa na msongo wa mawazo, Yani huyu UKRAINE ndio ashinde wakat jana kapigwa kitu kimoja tu anaomba mazungumzo ya haraka . kwahiyo mtu akiteka siraha anakua anaomba mazungumzo ya haraka eeeh. Ukifatisha vyombo vya magharibi halafu ukawa umekosa akil unaweza ukajikuta unaandika vitu hata havifikiriki kwa akili ya kawaida tu

Kwani hujamsikia Putin akiomba mazungumzo?

Kuomba mazungumzo, kuomba kusitisha mapigano, nk mbona ni mkakati wa kawaida katika vita?
 
Nakupa wiki moja uje uandike tena.

Kwani vita hii imejawa na propaganda na uongo mwingi.

Pia tayari Kuna majeshi ya nchi nyingine yamo ukryein yanapigana na mrusi kimya kimya,Ila chamoto watakiona kwani Sasa itapigwa vita ya moja kwa moja badala ya kwenda kwenye ground
Wengi nikiwamo mimi niliamini itachukua siku mbili au tatu Russia watakuwa wameishaiteka Kiev na Ukraine nzima. Lakini leo ni karibia mwezi na hakuna dalili. Hapa hakuna propaganda. Ni ukweli mtupu.
 
Hakuna terrible yoyote hapo mission ilikua ni kuexpand territory ya urusi na imekua successful, maana donesky,lohansky, na odess tayari ipo full operated na mrusi ukiacha Crimea ndiyoo tayari ni sehemu kabisa ya urusi kwa hiyo blacksea yote IPO chini ya urusi kutokea upande wa ukrein . kwahiyo the mission is 100% successful kwa urusi hata vita ikiisha leo
Eti full operated wakati vita bado ina pigwa hadi kwenye ayo majimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi nikiwamo mimi niliamini itachukua siku mbili au tatu Russia watakuwa wameishaiteka Kiev na Ukraine nzima. Lakini leo ni karibia mwezi na hakuna dalili. Hapa hakuna propaganda. Ni ukweli mtupu.
Lazima ichelewe kutokana na mbinu aliotumia rais wa UKRAINE kulazimisha raia kutoondoka kuingia vitan ndio sababu kuu , we fikiria wanaume kuanzia miaka 18 hamna kuondoka nchi nzima ni watu wengi kiasi gani sasa wanetumia raia Kama ngao ya kujikinga lakin ingekua Putin anapigana na jesh tu ingekua Kama kumsukuma mlevi tu
 
Back
Top Bottom