Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
PUTIN kaomba mazungumzo nakueka masharti yake inamaana kaeka mtego jamaa akikubali mazungumzo na PUTIN akubali masharti yake kama atakubali hapa PUTIN atakua kashinda kwa 100% kama atakataa maana yake mazungumzo hamna kwahio PUTIN atakua anaendelea tu kupeleka motoKwani hujamsikia Putin akiomba mazungumzo?
Kuomba mazungumzo, kuomba kusitisha mapigano, nk mbona ni mkakati wa kawaida katika vita?
VIVA PUTIN