Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

Hata ukisema unatupa Mwezi mmoja wala hatushtuki sababu mlianza na Masaa 48 kuwa mtateka Nchi nzima.
 
Wewe kweli hujui unachokitetea,kwani hizo Donetsk na Luhansky zimetekwa kwenye vita hii? Embu nitajie miji iliyotekwa na Urusi kwenye hii vita iliyoanza 24 Feb 2022.
 
Sasa si Ukraine washinde vita....sababu si faida kwao...au Ukraine wanataka nini tena?
 
Wengi nikiwamo mimi niliamini itachukua siku mbili au tatu Russia watakuwa wameishaiteka Kiev na Ukraine nzima. Lakini leo ni karibia mwezi na hakuna dalili. Hapa hakuna propaganda. Ni ukweli mtupu.
Mnataka wateketeze watu kisha dunia iseme wameua watu wasio na hatia...mbona vitu vingine ni akili ndogo tu.....Hivi unafikiri walishindwa kupiga makombora ovyo..mji wote ukakaa....vita inahitaji akili pia...You can win the battle but you can loose the war....
 
Kuna war strategies nyingi, halali na haramu. Putin na Urusi kama mnavyotuaminisha ni wababe wa vita walipaswa walijue hili na kuwa na mbinu bora za kikabiliana nalo. Kuchelewa kumaliza vita mpaka leo ni dalili kuwa Putin is overrated.
 
Kama sasa hivi hawauwi watu, basi hongera kwao! Ahahahahahahahah!!!!
 
Wewe tukuamini kwa lipi? Wote mnaandika mpo Usukumani huko ndani ndani
 
Kuna war strategies nyingi, halali na haramu. Putin na Urusi kama mnavyotuaminisha ni wababe wa vita walipaswa walijue hili na kuwa na mbinu bora za kikabiliana nalo. Kuchelewa kumaliza vita mpaka leo ni dalili kuwa Putin is overrated.
Uko sahihi Urusi ya zamani sio ya sasa hii ya wahuni mafisadi akina Putin na genge lake la magenerali Urusi ya sasa ni ya kitengo cha watu wachache mafisadi tofauti na ya wakati ule ya umma wa wakampa

Wengi humu wanasema Russia atashinda wakiwazia ile Urusi ya zamani dola moja kubwa lenye nguvu .Hii Russia ya sasa Haina lolote inapigika vizuri tu

Putin atadakwa tu au kupinduliwa au kuuawa anytime
 
Wengi nikiwamo mimi niliamini itachukua siku mbili au tatu Russia watakuwa wameishaiteka Kiev na Ukraine nzima. Lakini leo ni karibia mwezi na hakuna dalili. Hapa hakuna propaganda. Ni ukweli mtupu.
Lengo sio kuteka kievu ,Bali kuipiga kievu ni kulazimisha rahisi wao aondoke tuweke raisi wetu kwahiyo sio mkakati mkubwa maana yeye mwenyewe anaweza kukimbia akiona Hali inayokuja karibu yake
 
Utangoja Sana Us na NATO zinatumia mgongo wa wanachana yaani kampani lakini hawezi kusimama Kama nchi na kupigiana na urusi,hiyo ndiyo yako inategemea na chakula ulichokula sikulaumu lakini ni kitu ambacho hakipo
 
Ut

Utangoja Sana Us na NATO zinatumika mgongo wa wanachana yaani kampani lakini hawezi kusimama Kama nchi na kupigiana na urusi
Hiyo vita na ka ukraine tu mrusi kanamtoa kamasi sembuse baba lao marekani
 
Sasa unategemea nini kutoka kwa CNN yani utegemee CNN wasema mazuri ya Russia
 
Mkuu hii ni operation ndogo ya urusi ,urusi imetoa takribani ya 10% ya jeshi lake na 5% ya silaha zake ,hivyo kwa urusi ni kama operation ndogo ,wakiweka mzigo robo tuu Ukraine ndan ya siku tatu inatiwa nguvuni sema ,kwenye hii ishu urusi kaanza na ka operation na kanaonekana kanafanikiwa.
Haya mataifa ukisikia urusi,marekan na uae ,na China mziki wake siyo mdogo ni hatar
 
Operation !!! Mbona anatumia silaha kali ambazo hajawahi Tumia za makombora ya hypersonic halafu anayurusha kutoka mbali bahati ya red sea na Caspian sea si ai give na ndege zake za kivita Ukraine anga liko wazi mbona kaanza kutumia long range hypersonic missiles?

Mrusi safari lazima anyolewe bila wenye alikuwa akingojewa kwa hamu kajiingiza mtegoni mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…