Ufisadi wa Awamu ya 5: CAG Mstaafu Utouh alia na upigaji wa Trilioni 1.2, aitaka Serikali ieleze pesa zilikokwenda

Ufisadi wa Awamu ya 5: CAG Mstaafu Utouh alia na upigaji wa Trilioni 1.2, aitaka Serikali ieleze pesa zilikokwenda

Kwani wao ndio walikuwa watoa maamuzi na kuidhinisha pesa?

Hivi Sukuma gang huwa mnatoa wapi ujasiri wa kuwasema watangulizi ikiwa mliiba pesa kwa kiwango hiki?

Uzuri hii ni jinai itakuja tuu kuibuliwa siku moja maana hata Escrow and the likes zilijulikana licha ya kufanywa awamu zilizopita.
Huna akili nyumbu mkubwa wewe
 
Anayewashauri kuichafua awamu ya tano wakati zaidi ya robo tatu ya watendaji wake na viongozi wakuu ndio hao hao waliopo katika hiinayoita awamu ya sita aliwapotosha sana.
 
Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!

Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
Jamaa hawaibi tena wanachota
 
mkumbusheni huyo mzee kwamba assad alisema ni 2.4trn, au anawezaongeza akipenda.

ila sisi wnanchi tunaendelea na mambo mengine.
 
Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!

Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
Katiba haiwezi kusaidia lolote hapa!
Hapa sheria zake zipo tayari ni suala la kuwajibishana tu.
KATIBA MPYA HAPA ITAFANYA NINI?
 
Katiba haiwezi kusaidia lolote hapa!
Hapa sheria zake zipo tayari ni suala la kuwajibishana tu.
KATIBA MPYA HAPA ITAFANYA NINI?
Mihimili mingine inauogopa mhimili mkuu ndio maana hata sheria zilizopo zinakuwa hazina meno ya kutosha!! Kuna sehemu zingine meno ya sheria yanakufa ganzi kwa kuuogopa muhimili mkuu !! Angalia Kenya mahakama imeshamkatalia Rais Uhuru mambo mengi tu ! Je hapa wanaweza ??!!
 
NADHANI KUNA WATU WANA VICHWA VYA AJABU SANA, WAKO BIZE NA KATIBA MPYA AS IF KAMA NI JICHO LA MUNGU LIONALO SIRINI, WATAMBUE YAPO MAMBO YA KUWAJIBISHANA YANATAKIWA YAFANYIKE "USIMAMIZI MAKINI" MAANA UNAWEZA UKAWA NA KATIBA MPYA WASIMAMIZI WASIIFUATE WALE ISITHAMINIWE IKIWA HAINA MAANA YOYOTE, TARATIBU NA SHERIA TULIZO NATO NI NZURI KWELI ISPOKUWA UPANDE WA USIMAMIZI NDIPO KWENYE TATIZO,KUFAMIANA, KUCHEKEANA, NI MWENZETU, NDIPO TATIZO LILIPO
 
Hakika, naunga hoja mkono.
Katiba mpya ni sasa.
Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!

Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
 
Back
Top Bottom