dinongo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 814
- 1,054
Jiwe alikuwa anakwiba peke yake,Aliyekuwa makamu wa rais ,waziri mkuu na waziri wa fedha wa awamu ya 5 wakamatwe watueleze watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikuwa anakwiba peke yake,Aliyekuwa makamu wa rais ,waziri mkuu na waziri wa fedha wa awamu ya 5 wakamatwe watueleze watanzania
Huna akili nyumbu mkubwa weweKwani wao ndio walikuwa watoa maamuzi na kuidhinisha pesa?
Hivi Sukuma gang huwa mnatoa wapi ujasiri wa kuwasema watangulizi ikiwa mliiba pesa kwa kiwango hiki?
Uzuri hii ni jinai itakuja tuu kuibuliwa siku moja maana hata Escrow and the likes zilijulikana licha ya kufanywa awamu zilizopita.
Siku inakuja matako yenu maana pesa mliyokula ingetosha kumaliza sgr ya Dar moto ianze Kazi na ingetosha kuanza kioande Kipya cha Tabora Kigoma..Huna akili nyumbu mkubwa wewe
Hakuna cha peke yake,watajulikana tuu..Jiwe alikuwa anakwiba peke yake,
Jamaa hawaibi tena wanachotaKatiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!
Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!
""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
CCM wanapakua kabisaSiku inakuja matako yenu maana pesa mliyokula ingetosha kumaliza sgr ya Dar moto ianze Kazi na ingetosha kuanza kioande Kipya cha Tabora Kigoma..
Jinai haiozi
Tatizo la bongo wizi unaanzia juu kushuka chiniHakuna cha peke yake,watajulikana tuu..
Nyaraka wanaweza zichoma ila wao wahusika hawawezi kuchomoka,atakayepona ni marehemu aliye kaburini..
Katiba haiwezi kusaidia lolote hapa!Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!
Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!
""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
Wacha iendelee kunyesha tujue panapovuja !! Watu wameshachoka na Abracadabra za wanaojiita wanasiasa!! Iko siku hata miti itaongea !Hapo hatujagusa Bwawa la Nyerere ambalo wameleta makandarasi feki asiye na uwezo harafu wanamsinhizia Makamba..
Huko kwenye ndege ndio usiseme.
Akisha kamatwa tuende chato tukalichape kaburi viboko.Aliyekuwa makamu wa rais ,waziri mkuu na waziri wa fedha wa awamu ya 5 wakamatwe watueleze watanzania
Mihimili mingine inauogopa mhimili mkuu ndio maana hata sheria zilizopo zinakuwa hazina meno ya kutosha!! Kuna sehemu zingine meno ya sheria yanakufa ganzi kwa kuuogopa muhimili mkuu !! Angalia Kenya mahakama imeshamkatalia Rais Uhuru mambo mengi tu ! Je hapa wanaweza ??!!Katiba haiwezi kusaidia lolote hapa!
Hapa sheria zake zipo tayari ni suala la kuwajibishana tu.
KATIBA MPYA HAPA ITAFANYA NINI?
Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!
Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!
""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!