Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dotto JamesMajizi ya Tanzania yanaiba huku yanatisha watanzania wasiseme! Mwendakuzimu aungue awe majivu ikiwezekana waliohusika katika hujuma hii wapatikane tupate angalau fursa ya kuwaadhibu.
Hivi wewe unaweza ukauchunguza mkono wako 1? Hujipendi?Unamwambia nani achunguze wakati hao hulindana?
Ile kamati iliyoundwa na Samia kuchunguza upotevu wa fedha uliotokea banki kuu wakati wa msiba wa Magufuli, mpaka leo hakuna majibu yaliyotolewa.
Kama yeye alishindwa sisi hatutakiwi tushindwe maana tukishindwa basi na sisi wote tutakuwa kama yeye !! Kila mtu atabeba msalaba wake !!Huyu ndiyo mbovu kuliko wote, kama alijua hivyo kwanini alishindwa kutengeneza katiba bora?
Ndio maana tunasema katiba mpya ni muhimu ili iwe ni lazima hata mkono wako uchunguzwe na kama ni lazima basi ukatwe kabisa!!Hivi wewe unaweza ukauchunguza mkono wako 1? Hujipendi?
Wanaoiba wengi ni wale wateule wa Rais ambao wanajua fika hakuna mtu wa kuwagusa kutokana na Katiba inavyomchulia rais.Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!
Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!
""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
Ulaya na amerika kaskazini Rais anaweza kuchunguzwa na kuonywa kwa mambo anayofanya yasiyo na maslahi kwa taifa kutokana na katiba zao.Ndio maana tunasema katiba mpya ni muhimu ili iwe ni lazima hata mkono wako uchunguzwe na kama ni lazima basi ukatwe kabisa!!
Lile bichwa aisee dah😀Wakamfufue jamaa aliyekuwa hodari wa kugawa mihela hadharani?
Ameficha wapi hizo pesa alizoiba ? Au na yeye yupo na matajiri maarufu nchini ?! Maana tunasikia wengine wana makampuni mpaka huko Canada !! Huyu jamaa yeye kazificha wapi ?!!JPM alikuwa mwizi sana
Kila jambo na wakati wake! Wakati umeshafika na huku !!Ulaya na amerika kaskazini Rais anaweza kuchunguzwa na kuonywa kwa mambo anayofanya yasiyo na maslahi kwa taifa kutokana na katiba zao.
Huku kwetu sasa
Wewe ndio hujui ila sisi tunazo fununu ,wewe subili uchunguzi rasmi uje kufanywa utapata majibu hapa hapa.Ameficha wapi hizo pesa alizoiba ? Au na yeye yupo na matajiri maarufu nchini ?! Maana tunasikia wengine wana makampuni mpaka huko Canada !! Huyu jamaa yeye kazificha wapi ?!!
Kwa nini hakuibadilishaNyerere alionya kwa katiba iliyopo mkuu anaweza kufanya chochote na msiweze kumzuia !!
Kwa nini hakuibadilisha?Nyerere alionya kwa katiba iliyopo mkuu anaweza kufanya chochote na msiweze kumzuia !!
Sawa nasisi tusonge mbele jamani sio tu karne zote ndjo tunakuda mifano mibaya kwa dunia.Kila jambo na wakati wake! Wakati umeshafika na huku !!
Fununu toka wapi.Wewe ndio hujui ila sisi tunazo fununu ,wewe subili uchunguzi rasmi uje kufanywa utapata majibu hapa hapa.
Wewe jisemeshe ila jua jinai haiozi..Subiria Katiba mpya utapata majibu.Fununu toka wapi.
Una dalili zote za ulofa uliotukuka.
Bwege sana
Alikuwa ameshatoka madarakani kitambo !!Kwa nini hakuibadilisha
Kwa nini hakuibadilisha?
Kawaida yao wakiwepo madarakani huwa hawaioni ubaya wake !!mpaka watoke madarakani !!Alikuwa ameshatoka madarakani kitambo !!