Ufisadi wa Awamu ya 5: CAG Mstaafu Utouh alia na upigaji wa Trilioni 1.2, aitaka Serikali ieleze pesa zilikokwenda

Ufisadi wa Awamu ya 5: CAG Mstaafu Utouh alia na upigaji wa Trilioni 1.2, aitaka Serikali ieleze pesa zilikokwenda

Unamwambia nani achunguze wakati hao hulindana?

Ile kamati iliyoundwa na Samia kuchunguza upotevu wa fedha uliotokea banki kuu wakati wa msiba wa Magufuli, mpaka leo hakuna majibu yaliyotolewa.
Hivi wewe unaweza ukauchunguza mkono wako 1? Hujipendi?
 
Katiba Mpya kama SHERIA mama itazuia TARATIBU MBOVU za uchotwaji Fedha Benki kuu KWA matumizi Binafsi kama inavotokea KILA awamu ya utawala NCHI HII!!

Rais atapunguziwa madaraka na hatokuwa na maamuzi Binafsi KUHUSU Taasisi za Fedha na kuteua Ndugu zake au WATU wa karibu yake Ili kuzitawala Fedha za umma kama ilivyo Sasa na AWAMU NYINGI zilizo pita!!


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!!!
Wanaoiba wengi ni wale wateule wa Rais ambao wanajua fika hakuna mtu wa kuwagusa kutokana na Katiba inavyomchulia rais.
 
JPM alikuwa mwizi sana
Ameficha wapi hizo pesa alizoiba ? Au na yeye yupo na matajiri maarufu nchini ?! Maana tunasikia wengine wana makampuni mpaka huko Canada !! Huyu jamaa yeye kazificha wapi ?!!
 
Ameficha wapi hizo pesa alizoiba ? Au na yeye yupo na matajiri maarufu nchini ?! Maana tunasikia wengine wana makampuni mpaka huko Canada !! Huyu jamaa yeye kazificha wapi ?!!
Wewe ndio hujui ila sisi tunazo fununu ,wewe subili uchunguzi rasmi uje kufanywa utapata majibu hapa hapa.
 
Huyu utoh asisahau na yeye alipofanya uchunguzi wa pesa za escrow alishindwa kueleza pesa zilikuwa za nani
 
Halafu tunalialia tu ohoo uwajibikaji sijui kitu gani,kila anayeingia ni mwendo wa kujipigia tu, nchii hii ni shamba la vipofu ni kijichumia tu hadi unastaafu...ni kushibisha matumbo tu basi, nchii hii ina msingi wa hovyo kwelikweli,yani unatamani hata turudishe siki nyuma turekebishe makosa maana hatutaki kuanza leo,unafiki...
 
wakamateni watoto wa magufuri akina rucy magufuri ndio wanaofahamu hiyo tirioni baba yao aliificha wapi.....
 
Back
Top Bottom