DOKEZO Ufisadi wa kutisha ndani ya CHADEMA: Namba ya simu iliyokuwa ikitumika kukusanya pesa za “Join the Chain” siyo ya Chama!

DOKEZO Ufisadi wa kutisha ndani ya CHADEMA: Namba ya simu iliyokuwa ikitumika kukusanya pesa za “Join the Chain” siyo ya Chama!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika wazi hiki chama kuwa ndani yake kuna mijizi kwelikweli.

Leo katika press conference ya Lema, aliyekuwa mjumbe wa Technical team ya chama aliyehusika kusajili namba ya chama iliyotumika kwa ajili ya kukusanyia pesa za Join the Chain, akijibu swali la mwandishi wa habari ameuhabarisha umma kuwa kulikuwa na namba nyingine ambayo wananchi walipewa wachangie lakini namba hiyo siyo ya chama na haijulikani ni ya nani.

Bwana huyo akasema kuwa namba rasmi ya chama ilikuwa ni 0744446969 ambayo mzungumzaji aliisajili yeye kwa niaba ya chama na alama za vidole ni za kwake, na hii namba ilisajiliwa pindi viongozi wa CHADEMA wamefungwa na wakawa wanatafuta namna ya kuwatoa. Lakini cha ajabu zilitengenezwa vest za kuhimiza watu kuchangia kupitia "join the chain" zenye namba ambayo "kiujanja" ni tofauti na hiyo yaani 0744444969.

Akasema kuwa yeye binafsi haijui namba hiyo nyingine, na akawaomba waandishi wamuulize katibu Mkuu wa CHADEAM aeleze hiyo namba nyingine ilikujajekujaje kwenye kukusanya michango.

Hili suala zima la Join the Chain mwanzoni lilianza vizuri sana likiwa na lengo la kukifanya chama kiweze kujiendesha lakini tangu Mbowe alivyotoka gerezani, zoezi likahujumiwa na hata mapato na matumizi ya hilo zoezi yalikuwa hayatolewi wazi mpaka jana Mnyika alivyoeleza pesa zilizopatikana.

Kabla ya Mnyika kuzielezea hizo pesa bwana Wenje alidai eti hizo pesa zilikuwa zinakusanywa na akina Lissu na Lema ili kumpindua Mbowe kitu ambacho Mnyika alikipinga kwa ufafanuzi wake wa jana. Hata hivyo maswali bado yangalipo katika ishu nzima ya pesa za join the Chain hasa kuhusiana na namba hiyo feki ya kukusanyia pesa
0744444969 Ni ya Bunge Laiser na 0744446969 ni CDM HQ
 
Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika wazi hiki chama kuwa ndani yake kuna mijizi kwelikweli.

Leo katika press conference ya Lema, aliyekuwa mjumbe wa Technical team ya chama aliyehusika kusajili namba ya chama iliyotumika kwa ajili ya kukusanyia pesa za Join the Chain, akijibu swali la mwandishi wa habari ameuhabarisha umma kuwa kulikuwa na namba nyingine ambayo wananchi walipewa wachangie lakini namba hiyo siyo ya chama na haijulikani ni ya nani.

Bwana huyo akasema kuwa namba rasmi ya chama ilikuwa ni 0744446969 ambayo mzungumzaji aliisajili yeye kwa niaba ya chama na alama za vidole ni za kwake, na hii namba ilisajiliwa pindi viongozi wa CHADEMA wamefungwa na wakawa wanatafuta namna ya kuwatoa. Lakini cha ajabu zilitengenezwa vest za kuhimiza watu kuchangia kupitia "join the chain" zenye namba ambayo "kiujanja" ni tofauti na hiyo yaani 0744444969.

Akasema kuwa yeye binafsi haijui namba hiyo nyingine, na akawaomba waandishi wamuulize katibu Mkuu wa CHADEAM aeleze hiyo namba nyingine ilikujajekujaje kwenye kukusanya michango.

Hili suala zima la Join the Chain mwanzoni lilianza vizuri sana likiwa na lengo la kukifanya chama kiweze kujiendesha lakini tangu Mbowe alivyotoka gerezani, zoezi likahujumiwa na hata mapato na matumizi ya hilo zoezi yalikuwa hayatolewi wazi mpaka jana Mnyika alivyoeleza pesa zilizopatikana.

Kabla ya Mnyika kuzielezea hizo pesa bwana Wenje alidai eti hizo pesa zilikuwa zinakusanywa na akina Lissu na Lema ili kumpindua Mbowe kitu ambacho Mnyika alikipinga kwa ufafanuzi wake wa jana. Hata hivyo maswali bado yangalipo katika ishu nzima ya pesa za join the Chain hasa kuhusiana na namba hiyo feki ya kukusanyia pesa
Mbowe kakihujumu sana chama huku akiwalaghai wasio na akili eti anakifadhili chama.
Unaweza kuta hata hiyo pesa iliyopatikana kwenye hiyo namba alikuja kukikopesha chama au kujifanya mfadhili
 
Dah, idea ya Join the chain ingewezesha kabisa chama kujitegemea, lakini Mbowe kaiua!.

It seems ili Mbowe aweze kuendelea kuiongoza chadema lazima chama kiwe hohehahe kumtegemea yeye!. Hataki chama kijitegemee!
 
Namba zinapofuatana hivyo maana yake zimesajiliwa na wakala mmoja
Ila nchi masikini hata aje nani na asema nimeshuka toka juu na ni muadilifu bado nae akionja atakuwa mwizi tu maana imo kwenye damu
Waafrika hatuwezi kukomesha wizi
Mpeni yeyote nae ana damu hii hii
 
Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika wazi hiki chama kuwa ndani yake kuna mijizi kwelikweli.

Leo katika press conference ya Lema, aliyekuwa mjumbe wa Technical team ya chama aliyehusika kusajili namba ya chama iliyotumika kwa ajili ya kukusanyia pesa za Join the Chain, akijibu swali la mwandishi wa habari ameuhabarisha umma kuwa kulikuwa na namba nyingine ambayo wananchi walipewa wachangie lakini namba hiyo siyo ya chama na haijulikani ni ya nani.

Bwana huyo akasema kuwa namba rasmi ya chama ilikuwa ni 0744446969 ambayo mzungumzaji aliisajili yeye kwa niaba ya chama na alama za vidole ni za kwake, na hii namba ilisajiliwa pindi viongozi wa CHADEMA wamefungwa na wakawa wanatafuta namna ya kuwatoa. Lakini cha ajabu zilitengenezwa vest za kuhimiza watu kuchangia kupitia "join the chain" zenye namba ambayo "kiujanja" ni tofauti na hiyo yaani 0744444969.

Akasema kuwa yeye binafsi haijui namba hiyo nyingine, na akawaomba waandishi wamuulize katibu Mkuu wa CHADEAM aeleze hiyo namba nyingine ilikujajekujaje kwenye kukusanya michango.

Hili suala zima la Join the Chain mwanzoni lilianza vizuri sana likiwa na lengo la kukifanya chama kiweze kujiendesha lakini tangu Mbowe alivyotoka gerezani, zoezi likahujumiwa na hata mapato na matumizi ya hilo zoezi yalikuwa hayatolewi wazi mpaka jana Mnyika alivyoeleza pesa zilizopatikana.

Kabla ya Mnyika kuzielezea hizo pesa bwana Wenje alidai eti hizo pesa zilikuwa zinakusanywa na akina Lissu na Lema ili kumpindua Mbowe kitu ambacho Mnyika alikipinga kwa ufafanuzi wake wa jana. Hata hivyo maswali bado yangalipo katika ishu nzima ya pesa za join the Chain hasa kuhusiana na namba hiyo feki ya kukusanyia pesa
Mbowe atolewe tu
 
Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika wazi hiki chama kuwa ndani yake kuna mijizi kwelikweli.

Leo katika press conference ya Lema, aliyekuwa mjumbe wa Technical team ya chama aliyehusika kusajili namba ya chama iliyotumika kwa ajili ya kukusanyia pesa za Join the Chain, akijibu swali la mwandishi wa habari ameuhabarisha umma kuwa kulikuwa na namba nyingine ambayo wananchi walipewa wachangie lakini namba hiyo siyo ya chama na haijulikani ni ya nani.

Bwana huyo akasema kuwa namba rasmi ya chama ilikuwa ni 0744446969 ambayo mzungumzaji aliisajili yeye kwa niaba ya chama na alama za vidole ni za kwake, na hii namba ilisajiliwa pindi viongozi wa CHADEMA wamefungwa na wakawa wanatafuta namna ya kuwatoa. Lakini cha ajabu zilitengenezwa vest za kuhimiza watu kuchangia kupitia "join the chain" zenye namba ambayo "kiujanja" ni tofauti na hiyo yaani 0744444969.

Akasema kuwa yeye binafsi haijui namba hiyo nyingine, na akawaomba waandishi wamuulize katibu Mkuu wa CHADEAM aeleze hiyo namba nyingine ilikujajekujaje kwenye kukusanya michango.

Hili suala zima la Join the Chain mwanzoni lilianza vizuri sana likiwa na lengo la kukifanya chama kiweze kujiendesha lakini tangu Mbowe alivyotoka gerezani, zoezi likahujumiwa na hata mapato na matumizi ya hilo zoezi yalikuwa hayatolewi wazi mpaka jana Mnyika alivyoeleza pesa zilizopatikana.

Kabla ya Mnyika kuzielezea hizo pesa bwana Wenje alidai eti hizo pesa zilikuwa zinakusanywa na akina Lissu na Lema ili kumpindua Mbowe kitu ambacho Mnyika alikipinga kwa ufafanuzi wake wa jana. Hata hivyo maswali bado yangalipo katika ishu nzima ya pesa za join the Chain hasa kuhusiana na namba hiyo feki ya kukusanyia pesa
yani kwa ufupi kile chama kilipaswa kiwe na sifa za kidemokrasia kweli kama jina lake lilivyo. lakini ukianza na suala la mtu fulani kugombea nafasi fulani kila nwakati kinyume na katiba yao wenyewe inaonesha hakuna usawa na uwazi ndani ya chama...sasa kama hakuna usawa na uwazi ktk issue za uongozi it means nyuma ya mambo hayo ipo PESA. hii ndo sababu watu fulani hawataki kuachia madaraka hata kama katiba inasema hivyo.

so leo sishangai kusikia kulikuwa na namba ya ziada kwajili ya kupigia hela. chama cha ukweli hapa tizi ni cha mabachela tuuuu.
 
Back
Top Bottom