Tetesi: Ufisadi wa kutisha ndani ya Serikali

Tetesi: Ufisadi wa kutisha ndani ya Serikali

Tumeambiwa kuna safari ya China, nadhani tuvute subra huenda likaja fuba la maana na hivyo vi shoti shoti vyote vikapotea.
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
Kama report haina ukaguzi wa ATCL,TANROADS na TRC haina maana na TIB pia
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..

Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anajua kinachoendelea ndani ya ECONOMY ya nji yetu.
Ni mtu zwazwa na bashite tu ndo anaweza kupongeza huu ubabaishaji unaofanya na Magufuli kwenye MADINI, KORO-SHOW, NDEGE, FLYOVERS, SGR na STIEGLERS....!!! Kwa sasa Rais Magufuli ndiye ANAYEPANGA BAJETI NA MATUMIZI YA SERIKALI AKISHIRIKIANA NA DOTO JAMES(mtoto wa dada)bila ya KULIHUSISHA BUNGE LA JMT.....wala WAZIRI WA FEDHA...!!! Hivi unafikiri uwanja wa NDEGE WA KIMATAIFA HUKO CHATO ulijengwa kwa kibali cha Bunge gani na nani alipanga na kuidhinisha hiyo Bajeti? Ni mtu na mjomba waiqtumbua nji wanavyotaka....ukihoji unatumbuliwa na kupoteza ajira....! Huku kuna mazwazwa wanaendelea kusifia kwa BUKU 7!
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
Hi
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..

Kuna shimo vote 20 linameza fedha bila kutafuna!
 
Vikaragosi vya dikteta na dhalimu Ndugai na “Msiba” vitaongeza bidii ya kumshambulia CAG Assad ili dikteta amuondoe na kuweka kikaragosi chake kingine.

Good job CAG 👏👏👏👏👏👍🏽

CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
Mkuu tupe ushahidi kwamba mpango huo upo,vinginevyo TCRA na Jeshi la Polisi wanapaswa kukushuhulikia.TCRA na Jeshi la Polisi jamani fanyeni kazi,huyu mtu atoe ushahidi kwamba Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi.Rais na serikali wanapakwa matope kiasi hiki halafu kimya.Hapana.
 
Huu ni uzi wa tatu kuelezea wizi unaoendelea kwenye serikali ya Magu. Mmojawapo uliwekwa hapa na Britanica. Chini ya utawala wa CCM hatutofika kokote. Ni wizi tu kwa ajili ya watoto na wajukuu wao
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..

Namshauri Doto James ajifanye kuumwa aachie ngazi maana kifungo kinamsubiri
 
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..

Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....

Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...

Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..

Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..

Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...

Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.

Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
Kwa wanajumuia jiwe ni mpigaji tangu zamani ila anapenda aonekane mtakatifu. Kumbuka kivuko alichoficha jeshini nk
 
bila shaka wewe ni mmoja ya wakurugenzi wa halmashauri uliyekumbwa na ufisadi katika halmashauri yako hivyo unaamua kuitupia zigo la kinyesi hazina. ni ukweli usiopingika, halmashauri ndiko kuna uchafu wa kutisha sana kwenye hii nchi usijifanye kutetea leo hii. subiri mtumbuliwe akili zikae sawa. Rais Magufuli tumbua hao kabisa
Yaan maneno yoooooteeeeeee hayo ishu ni kwamba unamtetea JPM...
Yaani umeshindwa tu jinsi ya kuiunganisha CDM kwenye hili
 
bila shaka wewe ni mmoja ya wakurugenzi wa halmashauri uliyekumbwa na ufisadi katika halmashauri yako hivyo unaamua kuitupia zigo la kinyesi hazina. ni ukweli usiopingika, halmashauri ndiko kuna uchafu wa kutisha sana kwenye hii nchi usijifanye kutetea leo hii. subiri mtumbuliwe akili zikae sawa. Rais Magufuli tumbua hao kabisa
Ko almashauri wakijenga Zahanati sifa zimwendee mtukufu, basi kubalini hata zisipofanya vzr lawama ziwe ziwe zinamwendea mtukufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bila shaka wewe ni mmoja ya wakurugenzi wa halmashauri uliyekumbwa na ufisadi katika halmashauri yako hivyo unaamua kuitupia zigo la kinyesi hazina. ni ukweli usiopingika, halmashauri ndiko kuna uchafu wa kutisha sana kwenye hii nchi usijifanye kutetea leo hii. subiri mtumbuliwe akili zikae sawa. Rais Magufuli tumbua hao kabisa
Kid hvi unatetea uozo kwa faida ya nan?? Kumbuka dhahama yoyote ikitokea hakuna atakaebaki salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ingekuwa inaongozwa na watu wenye traces za ubinadamu, wangewalipa interest wastaafu ambao wamekaa zaidi ya mwaka wanasotea mafao Yao
 
Tunajitahidi kuwa wazarendo kwa kulipa kodi menyewe yako busy kuzisomba pesa zetu ipo siku zitawatokea kwenye vinyeo
 
Back
Top Bottom