Tetesi: Ufisadi wa kutisha ndani ya Serikali

Tetesi: Ufisadi wa kutisha ndani ya Serikali

Kwa wanajumuia jiwe ni mpigaji tangu zamani ila anapenda aonekane mtakatifu. Kumbuka kivuko alichoficha jeshini nk

Mbona yako madudu yake kibao tu....!!Kuna uuzwaji wa NYUMBA ZA SERIKALI alizowagawia ndugu zake, hawara n.k.
Kuna mikataba Fake ya barabara zilizojengwa chini ya viwango, kuna hasara alizosababishwa kwa kukurupuka kuvunja mikataba na Wakandarasi na hivo kupelekea Seriklai ya Tanzania kuwalipa wakandarasi hao mabilioni ya fueza...!
Halafu inatokea mijitu iliyojaa nzi wa kijani kama chooni inashangilia kana kwamba Magufuli ni malaika kashuka toka kuzimu....CCM ni Aibu na majanga tupu!!!Watu wakimsema Magufuli kwa madudu yake wanaambiwa ati wanatukana Serikali...!!!What a non-sense?
 
Back
Top Bottom