Ulilolisema ni ngumu sana kutekelezeka! misukule wana ma bodyguard..
u cant touch them!!
Nilisema wewe piga keleuuwiiii. Mwite jina lolote na kusema unamjua tena ni wa kwenu kijiji tena useme kwa sauti kuwa mama yake yupo utamleta hapo hapo na kuomba waandishi wampige picha. Kama ni wa utapeli atakimbia
Kazi kidogo tu ilu;
Nenda kwenye mkutano wake au kanisani kwake, akisema tu kwamba kuna msukule hapa, wahi mbele. Mkamate huyo msukule, ng'angania kuwa ulimjua na utampeleka kwao.
Mpelekee waandishi wa habari, wamchimbe miswali mpaka ateme uongo wake. Utakuwa umetuponya wengi na utamwaibisha huyo Gwajima Ni kaushauri tu kwako ilu.
Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha..
Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa..
Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma,
Ndugu zangu haswa Wakristo na Wafuasi wa Gwajima (Ufufuo na Uzima) kuweni makini sana na maigizo mnayofanyiwa!
Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!
Tutakoseshwa mbingu kwa kudanganyika na kumezeshwa imani zisizoendana na Mapenzi ya mungu..
Mimi sio muumini wa hao uliowataja lakini ni Mkristo
Nalazimika kukuuliza yafuatayo
Ni kwanini unasema hayo ni maigizo?
Je unaujuzi wa hayo?
Kama ni ndio tuambie hapa
Pia tuambie unajua nini kuhusiana na misukule
Je una ufahamu wowote na hiyo kitu "maigizo"?
Isije kuwa ni wivu tu wa kukosa waumini huko uliko ndio umekuongoza kuleta haya!
Kwahiyo Gwajima ni mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu waliopakwa mafuta?
Kuna mtu alisema wanaombea wagonjwa na wanapona,sasa swali la kujiuliza kwanin wasiwe wanaenda hospital moja kwa moja? Na kama umate umate si watapewa na ndugu wa wagonjwa?
Si tii neon hapa...Ila Watanzania wanapenda mazengaombwe sana.
Hata Yesu hakutafuta wagonjwa bali wagojwa walimtafuta yeye.
uponyaji wa Yesu ni wa imani na imani inaanzia kwa mtu mwenyewe.
Kwa hiyo iyo misukule ndo inamtafuta huyo gwajima?
Wivu wanini? ulimbiwa kuwa hata mimi ni nabii?
Kuna mtu alisema wanaombea wagonjwa na wanapona,sasa swali la kujiuliza kwanin wasiwe wanaenda hospital moja kwa moja? Na kama umate umate si watapewa na ndugu wa wagonjwa?
Hata Yesu hakutafuta wagonjwa bali wagojwa walimtafuta yeye.
uponyaji wa Yesu ni wa imani na imani inaanzia kwa mtu mwenyewe.
soma 1wakorinto 13 soma yote biblia bana kila kitu kipo ila ni jinsi unavyokitafsiri... miujiza na karama zote vimeshakomeshwa..shida kubwa ya watanzania wengi hawajui maandiko
napia hawamwamini mungu
wamekuwa wachunguzi;
wana roh ya tomazo:
neno la mungu limeweka wazi na ishara hizi zitaambatana na hao wamwamio yesu kwajina la yesu tutafufua wafu;
pia nitoe ufafanizi kidogo sii kweli ukifa nikweli umekufa wengine wanachukuliwa kichawi na kiroh wewe ujafa umeibwa tu
neno linasema watu hawa wamechukuliwa wako kwenye mashimo wala hapana asemae rudisha:
hivyo kazi ya mtu yeyote anaye mwamini kirsto amepewa mamlaka ya kurudisha mateka:
wacheni kucheza na kazi za mungu
Mkuu Mungi! binafsi nilishtuka sana nilipoona eti Gwajima afufua misukule zaidi ya 20 Arusha..
haya ni maigizo ya jukwaani kabisa na anayafanya bila uoga akidhani watanzania wote akili zetu zinafanana..
Sitaamini kamwe kwenye ufufuo wa aina hii..
Mungu naomba usinitoe katika imani niliyonayo,
inayonifunza katika kuyakabili maisha kwa njia ya halali! kutafuta kwa jasho..
Dah! mkuu watu8 huwa nakumbuka sana hoja yako uliowahi kuitoa sehemu juu ya kuwaamini watu kama kina Gwajima!
Hili la misukule mh! hapana kabisa!!
Kuna kipind alienda kwenye birika la yakobo, ambapo walikuwa wanaka wagonjwa wakisubir uponyaji