MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Maneno yenu yanafanana kabisa na wale waliokuwa wakimkebehi Yesu msalabani wakisema na ajiokoe mwenyewe sasa!!! Kama Yesu mwenyewe aliitwa mchawi na kudhihakiwa itakuwa hawa watumishi wake?
Binafsi najua kuna usanii mwingi siku hizi na pia siendi ovyo kwenye makanisa ya kilokole lakini pia sibezi kazi ya Mungu kupitia wachungaji kisa tu kuna wasanii.Kama ni usanii nitafanya utafiti wangu mwenyewe kupitia mafundisho yake na huduma yake ili kupitia matunda ya huduma yake nijue kama kweli ni mtumishi wa Mungu.
Binafsi najua kuna usanii mwingi siku hizi na pia siendi ovyo kwenye makanisa ya kilokole lakini pia sibezi kazi ya Mungu kupitia wachungaji kisa tu kuna wasanii.Kama ni usanii nitafanya utafiti wangu mwenyewe kupitia mafundisho yake na huduma yake ili kupitia matunda ya huduma yake nijue kama kweli ni mtumishi wa Mungu.