Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

Mi nilidhani hoja ya Mungi uliielewa pale mwanzo..
inakuwaje tena unaanza kushikamana na maelezo ya watu8? anayetumia refference ya biblia ambayo kila mtu anaweza kuitafsiri kwa jinsi anavyoweza na bado akaeleweka?

lets sticky into reality mkuu!

umeambiwa misukule iliyofufuliwa huko Arusha ndiyo inayoonekana Moshi kwa ufufuo tofauti..
usanii mtupu, afu bado tuamini kuwa YESU anatumika hapo?


Hahaha mkuu kwa maelezo haya sasa nimejua kuwa dhumuni la bandiko hili ni kujaribu kumchambua Gwajima na yale afanyayo...

Kwa mantiki hiyo sidhani kama nitaweza kuendelea na mjadala huu, ningekuwa radhi kama tu tungekuwa tunajadili uwezo, nguvu na mamlaka ya Kristo...

Maana tukiongea habari za Kristo pasipo na shaka yoyote Mkatoliki, Mlutheri, Msabato na wengineo tungeelewana kwa kuwa tungekuwa tunazungumza lugha moja...ila hili la kumjadili mtu binafsi ni ngumu kwangu.
 
watu8 watu walitaka tumzodoe Gwajima tu while mada inaponda mamlaka ya jina la Yesu katika kutenda miujiza!! Kama kuna mafundisho ya mchungaji kinyume na biblia takatifu hilo linaweza kuwa jambo la msingi lakini sio kukataa tu uwezekano wa miujiza kupitia wachungaji wa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Waliokuwa wakiagizwa ni Thenashara ambao walikuwa wanawakilisha wale wote watakaoliamini jina la Kristo.

Alichoagizwa Petro, Yohana, Filipo na wengineo ndio hicho hicho unachoagizwa wewe uaminiye.

Kama Petro aliambiwa afufue wafu, aponye wagonjwa iweje wewe mwenye imani sawa na Petro ushindwe??




Maandishi katika rangi nyekundu ndiyo jibu la swali lako:

Yohana 11: 25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;


Ni kuishi gani huko unakokuzungumzia kwenye rangi nyekundu?
Yani ukimwamini Mungu kamwe hautokufa?
Au ni mauti gani hii ambayo hatutokuafa?
Na kwa Maana hiyo ya kutokufa ukimwamini Ina Maana hakuna Kifo au kuna maisha baada ya Kifo?
 
watu8 watu walitaka tumzodoe Gwajima tu while mada inaponda mamlaka ya jina la Yesu katika kutenda miujiza!! Kama kuna mafundisho ya mchungaji kinyume na biblia takatifu hilo linaweza kuwa jambo la msingi lakini sio kukataa tu uwezekano wa miujiza kupitia wachungaji wa Mungu.

Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!


Binafsi hiyo nukuu kama ilivyoandikwa na mleta mada ndiyo iliyonipa shauku ya kutia japo neno kwa kuwa niliona ni mtizamo wenye mushkeli...maana sio ambavyo Biblia yatueleza.

Bahati mbaya sana huwa sina kawaida ya kujadili wale watu wanaohubiri, kama imani yake naona ina kasoro jambo moja na rahisi kufanya ni kutokuamini tu basi.


 
Hahaha mkuu kwa maelezo haya sasa nimejua kuwa dhumuni la bandiko hili ni kujaribu kumchambua Gwajima na yale afanyayo...

Kwa mantiki hiyo sidhani kama nitaweza kuendelea na mjadala huu, ningekuwa radhi kama tu tungekuwa tunajadili uwezo, nguvu na mamlaka ya Kristo...

Maana tukiongea habari za Kristo pasipo na shaka yoyote Mkatoliki, Mlutheri, Msabato na wengineo tungeelewana kwa kuwa tungekuwa tunazungumza lugha moja...ila hili la kumjadili mtu binafsi ni ngumu kwangu.

mkuu kuna njia mbili za kujadiliana kuhusu jambo fulani.
yaani njia ya moja kwa moja na ile isiyo ya moja kwa moja!

Kupitia Gwajima ni njia mojawapo ya kuangalia uwezo wa Yesu Kristo..
Kuuacha mjadala kwa kisingizio cha kumjadili Gwajima naona si sahihi..

Labda na wewe uniambie hapa kuwa haukubaliani na yale anayoyafanya ya kufufua misukule, na kama hautakubaliana na yeye ni bora uamini sasa Kuna sehemu jina la YESU linatumika ndivyo sivyo..

na zaidi zaidi kwenye ufufuo wa misukule!!
 
Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!


Binafsi hiyo nukuu kama ilivyoandikwa na mleta mada ndiyo iliyonipa shauku ya kutia japo neno kwa kuwa niliona ni mtizamo wenye mushkeli...maana sio ambavyo Biblia yatueleza.

Bahati mbaya sana huwa sina kawaida ya kujadili wale watu wanaohubiri, kama imani yake naona ina kasoro jambo moja na rahisi kufanya ni kutokuamini tu basi.



Mkuu watu8..
Naomba unifungue kwa zaidi kwa kunipa matukio ya ufufuo wa wafu yaliyofanywa na watu siku za nyuma ukitoa Yesu na Elisha..
ntafurahi sana kwa hayo
 
Last edited by a moderator:
Naamini katika uweza wa Mungu kwenye kutenda miujiza.

"Ninawaambia hakika, mtu ye yote akiniamini ataweza kufanya miujiza kama hii na hata zaidi, kwa kuwa mimi ninakwenda kwa Baba yangu"

Yohana 14:12

[SUP]17 [/SUP]"Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; watasema kwa lugha mpya; [SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona."

Marko 16:17-20


Neno la Mungu linasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hayo mengine mtazidishiwa, kinyume chake watu tumetingwa na kutafuta hayo mengine na kuacha kuutafuta ufalme wa Mungu kwanza. Na hii imepelekea watu kuja na mambo ya miujiza na ishara kitu ambacho hakikua kipaumbele cha Yesu Kristo alipokuja duniani, alikuja kuwaokoa watu na dhambi zao, kuwapatanisha watu na Mungu.

Si pingi ufufuo wa hao misukule na kwa bahati mbaya au nzuri sijawahi kushuhudia huyo Ngwajima anavyofufua, ila nna swali kwa wale walioshuhudia tu, ameshawahi kwenda mochwari/vyumba vya kuhifadhia maiti kisha akawaombea watu wakafufuka na ndugu zao wakiwepo hapo?
 
Naamini katika uweza wa Mungu kwenye kutenda miujiza.

“Ninawaambia hakika, mtu ye yote akiniamini ataweza kufanya miujiza kama hii na hata zaidi, kwa kuwa mimi ninakwenda kwa Baba yangu”

Yohana 14:12

[SUP]17 [/SUP]“Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; watasema kwa lugha mpya; [SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”

Marko 16:17-20


Neno la Mungu linasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hayo mengine mtazidishiwa, kinyume chake watu tumetingwa na kutafuta hayo mengine na kuacha kuutafuta ufalme wa Mungu kwanza. Na hii imepelekea watu kuja na mambo ya miujiza na ishara kitu ambacho hakikua kipaumbele cha Yesu Kristo alipokuja duniani, alikuja kuwaokoa watu na dhambi zao, kuwapatanisha watu na Mungu.

Si pingi ufufuo wa hao misukule na kwa bahati mbaya au nzuri sijawahi kushuhudia huyo Ngwajima anavyofufua, ila nna swali kwa wale walioshuhudia tu, ameshawahi kwenda mochwari/vyumba vya kuhifadhia maiti kisha akawaombea watu wakafufuka na ndugu zao wakiwepo hapo?

Ninakubaliana na wewe kwa kanuni ya Yesu kua hakuweka miujiza kwanza mbele!
 
Kwanini shetani anafake kifo, kuna faida gani kufanya hivyo. Jibu ni kuwa Mungu amewapa watu nyota au viashiria vya mafanikio kabla hata hawajazaliwa, shetani anaweza kuona nyota hizo (kama mamajusi au wachawi walivyoona nyota ya Yesu). Anachofanya anamchukua mtu mwenye nyota hiyo na kwenda kumuweka kwa mtu anayemwabudu yeye ili kupata mafanikio yale ambayo yule aliyechukuliwa alitakiwa kuwa nayo.

.
kulikuwa na topic kuhusu Uchawi / Uganga humu JF majuzi, watu wakasema haiwezekani mtu mmoja kuchukua nyota au viashiria vya mafanikio vya mtu mmoja na kumpa mtu mwingine kwa njia ya kichawi.... kwamba ni usanii wa wanganga wa kienyeji.

hii pia unaamini ipo? tufafanulie
 
Mkuu watu8..
Naomba unifungue kwa zaidi kwa kunipa matukio ya ufufuo wa wafu yaliyofanywa na watu siku za nyuma ukitoa Yesu na Elisha..
ntafurahi sana kwa hayo

Ata Mimi Nasubiri ni yaone hayo matukio ya Wafu walofufuliwa ukiachili mbali Yesu na Elisha!
 
Last edited by a moderator:
WATU ZAIDI YA 20
WARUDISHWA
KUTOKA KWENYE
MISUKULE HUKO
ARUSHA KWENYE
MKUTANO WA MCH. GWAJIMA. Habari inatoka Gospel Media News

Tunaomba majina yao na ndugu zao walio hai wathibitishe hayo. Tunajua Yesu alifufua wafu lakini ukiangalia utaona watu wote waliofufuliwa na Yesu walikuwa ni watu wa haki waliokubalika mbele ya Mungu. Tutaomba na wadhifu wa hao waliofufuliwa walikuwaje wakati wa uhai wao. Huyu GWAJIMA aweza kuwa tapeli
 
Tunaomba majina yao na ndugu zao walio hai wathibitishe hayo. Tunajua Yesu alifufua wafu lakini ukiangalia utaona watu wote waliofufuliwa na Yesu walikuwa ni watu wa haki waliokubalika mbele ya Mungu. Tutaomba na wadhifu wa hao waliofufuliwa walikuwaje wakati wa uhai wao. Huyu GWAJIMA aweza kuwa tapeli

Ni tapeli huyu!
kwa kigezo cha matumizi wa misukule(the same) in different events!!
Arusha na Moshi misukule wale wale!!
Huyu ni tapeli.
 
Mkuu watu8..
Naomba unifungue kwa zaidi kwa kunipa matukio ya ufufuo wa wafu yaliyofanywa na watu siku za nyuma ukitoa Yesu na Elisha..
ntafurahi sana kwa hayo

Ata Mimi Nasubiri ni yaone hayo matukio ya Wafu walofufuliwa ukiachili mbali Yesu na Elisha!

Widow of Zarephath's son
(I Ki 17:17-24) raised by Elijah
Elijah was a great prophet. He was sent by God to the widow of Zarephath. Elijah told the widow, who was running out of flour and oil, that God would provide for her and her son. God miraculously replenished the flour and oil in her containers so she could provide for herself, her son and Elijah. But then her son got sick and died. Elijah went up to the boy's room in the loft. He laid himself over the boy's body three times and then prayed that God would allow the boy's soul to come back into him. The boy was raised from the dead.

Eutychus
(Acts 20:7-12) raised by Paul
Late one night Paul was speaking to a group of believers. A young man was sitting in the window listening. He fell asleep and fell from the third story to his death. Paul ran down, laid himself over the body and then embraced him. He told everyone the boy was OK, and he was.

Tabitha also known as Dorcas
(Acts 9:36-41) raised by Peter
Tabitha was a seamstress who did many good deeds. She got sick and died. Since Peter was in a nearby town they asked him to come. Peter had everyone leave the room where Tabitha lay. He knelt down and prayed and then he said to the body, "Tabitha, arise." She opened her eyes and then sat up.
 
Ni kuishi gani huko unakokuzungumzia kwenye rangi nyekundu?
Yani ukimwamini Mungu kamwe hautokufa?
Au ni mauti gani hii ambayo hatutokuafa?
Na kwa Maana hiyo ya kutokufa ukimwamini Ina Maana hakuna Kifo au kuna maisha baada ya Kifo?

Mkuu kifo katika katika imani ya kikristo ni ile kutengwa na Mungu, ndio maana tunaambiwa Yesu alikuja duniani na kila aliyemwamini ana uzima tele. Unapokufa hapa duniani, ndio mwisho wa mwili huu wa nyama lakini ndio mwanzo wa maisha yako ya milele. Na ndio maana mwili unapingana na roho kwa sababu unataka upate vitu vyote vya duniani lakini roho itaishi milele.

Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Yohana 3:16

Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti,bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Warumi 6:23

Ye yote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatauona uzima bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake daima

Yohana 3:36
 
Mimi ni Mkatoliki lakini ninayeamini YESU aliyesema kwa imani hata milima itang'oka sembuse haya?
Pondeni wachungaji lakini acheni kulimit uwezo wa Mungu.
Mleta mada ungesema huamini kama wale misukule kweli nisingeshangaa lakini futa kauli ya kutoamini miujiza kwavile huoni kanisani kwako.Mimi kwenye mikutano ya Karistimatic nimeshuhudia miujiza mizito hivyo sishangai uwezo wa Mungu.

Mungu anatenda miujiza mingi sana na hata maandiko yanasema "kwa Mungu hakuna lisilowezekana"Luka 1:36


Pia tufahamu kuna miujiza ya Mungu na ya wanadamu.


1. Miujiza ya kibinadamu (miujiza show) ni kwa manufaa binafsi, kujigamba na kuwaaminisha watu. Hii ndio mingi na inaibuka
kila kukicha na walikuwako tangu zamani mfano ni wale waganga wa farao (kutoka 7:11,12). Hivyo Ingefaa hao waliofufuliwa
tupate biographical info zao na scientific proof ilitufahamu mbichi na mbivu


2. Miujiza ya Yesu ni tofauti sana kwani yeye hakuja kufanya miujiza bali kutangaza Habari Njema kwa watu wote.Pia likataa
kufanya "miujiza show" Luka 11:29 na akasisitiza "Heri yao wasiona wakasadiki (Yohana 20:29)". Ikumbukwe hii miujiza siyo
jambo la msingi sn maana hata Lazaro alifufuliwa bali alikuja kufa tena cha maana ni "kufufuliwa" toka utumwa wa dhambi
na hilo ndilo Yesu alilofanya na kutufundisha
 
Back
Top Bottom