kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
- Thread starter
- #141
Ok nafikiri Hapo tuko Sawa! Unajua mauti ya pili ndio hiyo ya kuzingatia kwasababu mauti hii ya kwanza ni Kama kulala tu usingizi! Kitu cha kuangalia katika mauti hii ya kwanza ni kufa katika tumaini la uzima wa milele au ni kufa katika dhambi!
Kwa Sasa kutokana na watumishi Hawa wa dini kufanya miujiza mikubwa Je kuna ata mmoja anaweza kukufua Wafu? Maana Maandiko yako wazi na Tumeona wale kumi na wawili wakiagizwa kufanya makuu! Sasa kwa kipindi hiki tunaweza tukawa na watu Kama Hao?
Kuwa na watu kama hao kwa sasa ni ngumu kidogo mkuu!
mi huwa nashangaa sana kuwaona kina TB joshua wakijeweka kundi moja na kina Paulo wa enzi zile