Ulilolisema ni ngumu sana kutekelezeka! misukule wana ma bodyguard..
u cant touch them!!
Nilisema wewe piga keleuuwiiii. Mwite jina lolote na kusema unamjua tena ni wa kwenu kijiji tena useme kwa sauti kuwa mama yake yupo utamleta hapo hapo na kuomba waandishi wampige picha. Kama ni wa utapeli atakimbia