Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

anapatikana wapi anifufulie mama yangu maana nina majonzi kupita kiasi
 
ok,sisi Mungu weu huanza kuponya roho ndipo mengine yafuate,saa suala la Umasikini tukitaka liishe kwa mapngo wa Mungu tutaka ni wanafiki maana hatutiii amri za Mungu,by the way Mungu lazima aabudiwe ktk azingira yote,utajiri na umasikini pia,so unataka kusemamkwamba tuache kumuabudu Mungu kwa sababau ya umasikini wetu?
kuna mengi yakufanya zaidi ya kuigiza na misukule..
Kuna mafundisho mengi sana ambayo watanzania wanayahitaji katika kujikwamua na umaskini..
 
Wewe hupaswi kumuamini mchungaji bali amini uweza wa jina la YESU.
Kutokuamini kwenu kuna shangaza mbona mnaamini ulinzi wa majini lakini mkisikia muujiza wa MUNGU doubt kibao na vijisababu visivyoisha.

Hata huo ulinzi wa majini unaoutaja siuamini pia. Uwezo wa jina la Yesu sina shaka nao ila si kwa misukule ya Gwajima.
 
Ugumu wa maisha umetufanya Wakristo tuonekane kama mapunguani/hamnazo.

njooni kwenye nuru ya uislam. Hakuna maigizo wala tamthilia.
Ni uhalisia na mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu.
 
Ninachoamini ni kuwa siku ya mwisho atarudi kuwafufua wafu na wala si msikhara haya kama kuponya malaria
leo tunamkumbuka JKN si wangeturufishia mwamba huyu?
 
Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha..
Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa..

Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma,
Ndugu zangu haswa Wakristo na Wafuasi wa Gwajima (Ufufuo na Uzima) kuweni makini sana na maigizo mnayofanyiwa!

Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!

Tutakoseshwa mbingu kwa kudanganyika na kumezeshwa imani zisizoendana na Mapenzi ya mungu..

Ila kumbuka Yesu Kristu aliwaambia wanafunzi wake (including waliopakwa mafuta ) kuwa watafanya zaidi ya aliyofanya yeye.
 
Ila kumbuka Yesu Kristu aliwaambia wanafunzi wake (including waliopakwa mafuta ) kuwa watafanya zaidi ya aliyofanya yeye.
Kwahiyo Gwajima ni mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu waliopakwa mafuta?
 
Hizi ni siku za mwisho wapendwa kaa imara kwenye Imani achana na miujiza
 
Ila kumbuka Yesu Kristu aliwaambia wanafunzi wake (including waliopakwa mafuta ) kuwa watafanya zaidi ya aliyofanya yeye.

Sehemu gani hiyo? nani alifanya zaidi yake mpaka sasa?
au ndiyo huyu afanyae sasa? (gwajima)...
 
nipe adress

siku shauri hata kidogo juu ya miujiza ya ufufuaji!
ni uchafu kabisa..

Mungu alimchukua mama kwa kuwa ilimpasa!
accept it now, Mama anatabasamu kila siku tena kwa furaha pindi umkumbukapo kwa kutenda mema aliyokuhusia..
Usijaribu hata siku moja kuingia katika njia ovu na itakayomkasirisha..

Smile mdogo wangu! mama amepumzika kwa amani!!
 
Last edited by a moderator:
Ninachoamini ni kuwa siku ya mwisho atarudi kuwafufua wafu na wala si msikhara haya kama kuponya malaria
leo tunamkumbuka (JKN) si wangeturufishia mwamba huyu?

mkuu hapo kwenye mabano ulimaanisha nini?
 
Mimi huwa nachokaga na haya mambo. Sijawahi kufika katika hizo ibada ila nachojiuliza hao wanaoitwa misukule inafikaje hapo kwa Gwajima..yaani kama huyo alietoka Mortuary alikuja mwenyewe au? Duuh...

Kazi kidogo tu ilu;
Nenda kwenye mkutano wake au kanisani kwake, akisema tu kwamba kuna msukule hapa, wahi mbele. Mkamate huyo msukule, ng'angania kuwa ulimjua na utampeleka kwao.
Mpelekee waandishi wa habari, wamchimbe miswali mpaka ateme uongo wake. Utakuwa umetuponya wengi na utamwaibisha huyo Gwajima Ni kaushauri tu kwako ilu.
 
Kazi kidogo tu ilu;
Nenda kwenye mkutano wake au kanisani kwake, akisema tu kwamba kuna msukule hapa, wahi mbele. Mkamate huyo msukule, ng'angania kuwa ulimjua na utampeleka kwao.
Mpelekee waandishi wa habari, wamchimbe miswali mpaka ateme uongo wake. Utakuwa umetuponya wengi na utamwaibisha huyo Gwajima Ni kaushauri tu kwako ilu.

Ulilolisema ni ngumu sana kutekelezeka! misukule wana ma bodyguard..
u cant touch them!!
 
Back
Top Bottom