Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Dume mmoja kwa wakati mmoja? S atakua anakojoa upepo
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
 
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
Umeandika majike 20 au 30 kwa pamoja.. labda utumie uhamilishaj ila kwa njia ya kupanda kwa dume moja ni kitu haiwezekan
 
Nawasalimuni kwa jina la Mungu. naomba niwapongezeni sana nyote ktk kujenga mawazo ya kutaka kuingia ktk miradi kama hii ya ufugaji. Mimi ni mfugaji wa Mbuzi na nina fuga Mbuzi kwa muda mrefu, niwaombeni kitu ufugaji ni mzuri na una faida na changamoto zake, kikubwa ni kukubali kujifunza na kujijengea umakini ktk ukaguzi na usimamizi wa mifugo yako. Kwa aliyepo Dar namkaribisha kwangu aje tujifunze pamoja na tugawene ujuzi kwa pamoja. Kwa anae anaza kufuga nakuomba sana usinunuwe mbegu kwanza kabla hujapita kwetu wafugaji tulio kutangulia ujifunze vitu halafu ndio uingize Mbegu shambani kwako. Karibuni kwa maswali mbali mba;li nipo hapa tutasaidiana kwa kadiri Mungu atakavyo tujaalia.
 
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
Nahitaji nije kujifunza ufugaji wa Mbuzi. Nina heka nne Morogoro nahitaji kufuga. Unapatikana wapi?
 
Nawasalimuni kwa jina la Mungu. naomba niwapongezeni sana nyote ktk kujenga mawazo ya kutaka kuingia ktk miradi kama hii ya ufugaji. Mimi ni mfugaji wa Mbuzi na nina fuga Mbuzi kwa muda mrefu, niwaombeni kitu ufugaji ni mzuri na una faida na changamoto zake, kikubwa ni kukubali kujifunza na kujijengea umakini ktk ukaguzi na usimamizi wa mifugo yako. Kwa aliyepo Dar namkaribisha kwangu aje tujifunze pamoja na tugawene ujuzi kwa pamoja. Kwa anae anaza kufuga nakuomba sana usinunuwe mbegu kwanza kabla hujapita kwetu wafugaji tulio kutangulia ujifunze vitu halafu ndio uingize Mbegu shambani kwako. Karibuni kwa maswali mbali mba;li nipo hapa tutasaidiana kwa kadiri Mungu atakavyo tujaalia.
Naomba no yako ndugu nije kujifunza
 
loader.png
 
Hapa linatakiwa eneo kubwa , alaf unaligawa hata vipande vinane vya ukubwa wa hekari mbili kila kimoja , unazungusha fensi nzito , supply ya maji iwe constant , ataishi kifalme Sana , na mbuzi atawakimbia , Ila hii ya kuwapeleka machungani na kurudi chenga tupu , mbuzi Wana visirani Sana kila mara mchungaji atakuwa anarudi amevunja mgongo mmoja

View attachment 2470846
Mkuu huu sasa uwekezaji wa mabiloni, eka 16 zenye fensi nzito? Huu sio mradi wa wanaojitafuta sasa.
 
Back
Top Bottom