Pole sana ndugu kwa hii chanagamoto naomba nikushauri kitu, ktk ufugaji wako unapotafuta Mbegu ya mapacha uwe unajuitahidi kutafuta na kuona kabisa Mbuzi mwenye watoto mapacha na kama ikiwezekana akuuzie na watoto wake kabisa itakusaidia kuwa na uhakika ktk hilo hitaji lako. Mimi huwa naitumia hiyo njia ktk kujihakikisha kama namhitaji huyo Mfugo, ila kwangu mimi kipaumbele ni Mbuzi kuzaa sio lazima mapacha ikitokea namshukuru Mungu nasonga, kipaumbele ni kuwa na majike bora yenye kunipatia matokeo bora, Barikiwa sana ktk ufugaji huu.