Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Dume mmoja kwa wakati mmoja? S atakua anakojoa upepo
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
 
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
Umeandika majike 20 au 30 kwa pamoja.. labda utumie uhamilishaj ila kwa njia ya kupanda kwa dume moja ni kitu haiwezekan
 
 
Ndugu inategemena na unamajike wangapi na unataka kupandishaje hapo ni wewe tu mfugaji na malengo yako. Ni rahisi sana kikubwa ni wewe unahitaji kufanyeje na kwa wakati gani maana hata hali ya hewa pia nayo ni yakuangalia sana wakati wa uzalishaji.
Nahitaji nije kujifunza ufugaji wa Mbuzi. Nina heka nne Morogoro nahitaji kufuga. Unapatikana wapi?
 
Naomba no yako ndugu nije kujifunza
 
Mkuu huu sasa uwekezaji wa mabiloni, eka 16 zenye fensi nzito? Huu sio mradi wa wanaojitafuta sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…