Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Asante sana
Je mna Instagram au YouTube?
 
Naomba namba zao mkuu. Au na mimi uniunge kwenye tagofa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ahsante kwa mawazo mazuri sana...
 
Ahsante Joka.Nimejifunza kitu kutoka kwako.Ubarikiwe!
 
Nakufata inbox ndugu,Nahitaji namba yako ya WhatsApp kwa ushauri zaidi kuhusu ufugaji wa Mbuzi.
 
Bei ya mbuzi Sokoni ipo vipi yaani The Highest na Lowest Price ?

Namaanisha haiwezi kutokea una mzigo watu hawanunui na wenyewe wanaendelea kula faida (chakula)?

Je demand ni mwaka mzima ? au Machinjioni wanachukua kwa bei gani ?
 
Naomba kufahamu kuna mbuzi nilionaga mahali ni weupee mwili mzima baadhi wana rangi nyeusi kichwani na wanamaumbo makubwa pia wanazaaa mapacha,hawa ni aina gani na wanapatikana sana maeneo gani??
 
Naomba kufahamu kuna mbuzi nilionaga mahali ni weupee mwili mzima baadhi wana rangi nyeusi kichwani na wanamaumbo makubwa pia wanazaaa mapacha,hawa ni aina gani na wanapatikana sana maeneo gani??
Kwakweli hapo ungetueleza ukanda ulipowaona hapo labda tungeweza kukusaidia ni aina gani wanapatikana ukanda huo, na picha ingesaidi kusoma hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…