fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Mkuu nashukuru sana kwa mchanganuo huo
Najua hawaji rahisi ila kama nikipata hata wawili jike na dume mbona inawezekana na kupata baadae watoto wao
SA ni mbali ila kwa Uganda naona ni rahisi kidogo maana kuna malori yetu yapo huko
Ila ni plan yangu hiyo pia ntapata ushauri zaidi kwa wataalamu na wafugaji wakubwa kama hao
Kwenye sherehe za wakulima huwa wanaleta mbegu tofauti tofauti kama unawajua nijulishe mkuu
Naona una uzoefu na pia mfuatiliaji mzuri na kama unafuga pia naomba utupe experience zako na changamoto zao
Najua Boer kupanda mbuzi wetu ni changamoto sana ila kama nitapata hata x breed sawa
Chukulia kenya kama wapo Uganda wana ushuru mkubwa mno