Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Nawasalimuni kwa jina la Mungu naomba niwapeni taarifa piteni kwenye kurasa za MAVUNOFARM NA MBOGORANCHESE huko kuna Mbuzi wa mbegu wanauzwa kwaajili ya kuboresha mashamaba yetu please sio lakukosa hilo nawaombeni sana.
 
Habari za leo kwanza naomba utambue kila mlaji ana uchaguzi wake wa Mbuzi saizi gani anamfaa kwa matumizi yake aliyoyapangilia. Mbuzi akisha fikisha umri wa miezi 4 kwenda mbele huyo anaweza kufaa kwa matumizi ya kuliwa, kuhusu hawa Mbuzi wetu wa kienyeji ukuwaji wao ni watatratibu sana na ndio maana kwa sasa tunashauriwa sana kuanza kuchanganya mbegu na hawa Mbuzi wa kutoka mataifa ya nnje. Mfano Isiolo/Galla. Boer,Red kalahare, Savanaha, nk.
Kwa majike tunashauri sana utumie wenye maumbo makubwa, Mubende hawa wanapatikana Karagwe,Biharamulo,Bukoba na Uganda. Buha hawa wanapatikana Kigoma zaidi. Na pia ukipata Mbuzi wanaopatikana ukanda wa usukumani, na kwenye mashamba ya uzalishaji wa Mbuzi Taliri,Mpwapwa,Tanga nas kwengineko. Huko utapata Blended, Gogo white,Newala nk. Karibu sana ktk ufugaji wa Mbuzi.
Mkuu hivi mbuzi wanaopacha 3 na 4 urahisi wake wa kupatikana upoje?
Je heka 20 naweza fuga mbuzi wangapi?
 
Mkuu hivi mbuzi wanaopacha 3 na 4 urahisi wake wa kupatikana upoje?
Je heka 20 naweza fuga mbuzi wangapi?
Kwakweli kuhusu kuzaa mapacha na zaidi ya hapo kwanza inategemeana na ukoo na matunzo mazuri kwa mnyama. kuhusu heka 20 nafikiri ukilikata vyema sehemu za malisho, Mbuzi 50 wanatosha kwa heka 20, kwa uelewa wangu.
 
Habari za leo kwanza naomba utambue kila mlaji ana uchaguzi wake wa Mbuzi saizi gani anamfaa kwa matumizi yake aliyoyapangilia. Mbuzi akisha fikisha umri wa miezi 4 kwenda mbele huyo anaweza kufaa kwa matumizi ya kuliwa, kuhusu hawa Mbuzi wetu wa kienyeji ukuwaji wao ni watatratibu sana na ndio maana kwa sasa tunashauriwa sana kuanza kuchanganya mbegu na hawa Mbuzi wa kutoka mataifa ya nnje. Mfano Isiolo/Galla. Boer,Red kalahare, Savanaha, nk.
Kwa majike tunashauri sana utumie wenye maumbo makubwa, Mubende hawa wanapatikana Karagwe,Biharamulo,Bukoba na Uganda. Buha hawa wanapatikana Kigoma zaidi. Na pia ukipata Mbuzi wanaopatikana ukanda wa usukumani, na kwenye mashamba ya uzalishaji wa Mbuzi Taliri,Mpwapwa,Tanga nas kwengineko. Huko utapata Blended, Gogo white,Newala nk. Karibu sana ktk ufugaji wa Mbuzi.

Great
 
Kwakweli kuhusu kuzaa mapacha na zaidi ya hapo kwanza inategemeana na ukoo na matunzo mazuri kwa mnyama. kuhusu heka 20 nafikiri ukilikata vyema sehemu za malisho, Mbuzi 50 wanatosha kwa heka 20, kwa uelewa wangu.
Kwa Watson mbuzi 2 kwa heka,
 
Naomba ushauri wandugu, nina mbuzi wangu wa maziwa. Alipandwa na dume mwaka jana tarehe 15 mwezi wa 12. Ana mimba kubwa sana sana lakini hadi sasa hivi bado hajazaa. Tumbo limeshuka, maziwa yamejaa lakini hazai yaani huu mwezi ukiisha anatimiza miezi sita na nusu.

Hii imekaaje wafugaji wenzangu?? Je imewahi kuwatokea na nyie?

Cc JokaKuu , MUBENDE wakaliwetu nk

Aina ya mbuzi nilionao ni saanen
 
Naomba ushauri wandugu, nina mbuzi wangu wa maziwa. Alipandwa na dume mwaka jana tarehe 15 mwezi wa 12. Ana mimba kubwa sana sana lakini hadi sasa hivi bado hajazaa. Tumbo limeshuka, maziwa yamejaa lakini hazai yaani huu mwezi ukiisha anatimiza miezi sita na nusu.

Hii imekaaje wafugaji wenzangu?? Je imewahi kuwatokea na nyie?

Cc JokaKuu , MUBENDE wakaliwetu nk

Aina ya mbuzi nilionao ni saanen
Pole sana ndugu nakushauri umshirikishe vet kwa kuwa hapo nacho amini ni labda ulikosea hesabu na ndio maana naomba umshirikishe vet ili aweze kukusaidia kitaalamu zaidi.
 
Naomba ushauri wandugu, nina mbuzi wangu wa maziwa. Alipandwa na dume mwaka jana tarehe 15 mwezi wa 12. Ana mimba kubwa sana sana lakini hadi sasa hivi bado hajazaa. Tumbo limeshuka, maziwa yamejaa lakini hazai yaani huu mwezi ukiisha anatimiza miezi sita na nusu.

Hii imekaaje wafugaji wenzangu?? Je imewahi kuwatokea na nyie?

Cc JokaKuu , MUBENDE wakaliwetu nk

Aina ya mbuzi nilionao ni saanen
Ndugu samahani naomba kujuwa uko mkoa gani? tunaomba ukifanikiwa utupe mrejesho.
 
Naomba ushauri wandugu, nina mbuzi wangu wa maziwa. Alipandwa na dume mwaka jana tarehe 15 mwezi wa 12. Ana mimba kubwa sana sana lakini hadi sasa hivi bado hajazaa. Tumbo limeshuka, maziwa yamejaa lakini hazai yaani huu mwezi ukiisha anatimiza miezi sita na nusu.

Hii imekaaje wafugaji wenzangu?? Je imewahi kuwatokea na nyie?

Cc JokaKuu , MUBENDE wakaliwetu nk

Aina ya mbuzi nilionao ni saanen
Pole kwa changamoto hiyo,mshirikishe daktari wa mifugo kwenye eneo lako kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu zaidi!Ukifanikiwa tupe mrejesho.
 
Nawashukuru wote, nilimuita dr wa mifugo. Mbuzi yupo vizuri ana mimba ila muda wake bado. Alichosema itakuwa niliuziwa mbuzi ambaye hana mimba, ila mimba hii kaipatia hapa kwangu maana nilikuwa nalo dume la mbuzi kabla. Hivyo itakuwa alipandwa hapa hapa.
 
Nawashukuru wote, nilimuita dr wa mifugo. Mbuzi yupo vizuri ana mimba ila muda wake bado. Alichosema itakuwa niliuziwa mbuzi ambaye hana mimba, ila mimba hii kaipatia hapa kwangu maana nilikuwa nalo dume la mbuzi kabla. Hivyo itakuwa alipandwa hapa hapa.
Barikiwa sana ndugu, Mungu akujaalie usfanikiwe upate wajukuu wakutosha.
 
Nafurahi kujumuika nanyi wafugaji wenzangu! Mm nafuga Mbuzi, maeneo ya Msowero - Kilosa, Morogoro! Changamoto kubwa niliyoipata ni kuingizwa chaka na Wafugaji/Wamasai walioniuzia mbegu wakisema inazaa Mapacha.
Haikuwa kweli. Kinyume cha hapo sijutii kuwa Mfugaji
 
Nipo Morogoro mjini sehemu inaitwa Kiegea. Ni mfugaji mchanga bado hivyo najifunza kutoka kwenu wakongwe.
Mkuu nitakutembelea siku 1! Na wewe karibu Msowero tufanye kuSHARE uzoefu
 
Back
Top Bottom